melusine8
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 6,299
- 7,739
'Wanaomlipa' sabaya wao watalipwa na nani? Au malipo yanaishia kwa sabaya? Wekeni akiba ya maneno
Umeona 🫤
'Wanaomlipa' sabaya wao watalipwa na nani? Au malipo yanaishia kwa sabaya? Wekeni akiba ya maneno
Hivi kuna watu bila utu wala aibu wanamtetea Sabaya? Kweli?
Hata mnaomtetea makengeza tunawashangaa sanaHata wanaomtetea jiwe nawashangaa sana
Sabaya ataozea jela atafungwa sana kwani kesi zake ni nyingi#FreeSabaya
Kijijini kwenu wapi huko kuna mashauri ya rufaa na Civil Case na double jeopardy doctrine ?? Kijiji gani ??kwa uelewa wangu mdogo wa jurisprudence (mimi sio mwanasheria) anyway huku kijijini kwetu
Hivi unajua hakuna kesi kafungwa mpk sasa?Sabaya ataozea jela atafungwa sana kwani kesi zake ni nyingi
Inshort pale hakuna kesi ila kuna kundi la wahuni ambao wameunda mambo yao wakaenda kumdanganya Samia amtese kijana wa watu! Hakuna ata mwenye ushahidi wa kueleweka kwenye kesi zake wote ni kama wanaunda unda tu maneno na ndiyo maana mpaka leo hakuna kesi ameshundwaHili ni funzo kubwa sana kwa wajinga kama Sabaya.
Nadhani kuna wengine nao walistahili wawe rumande kwa ku abuse madaraka ikiwa ni pamoja na yule jaji aliyekuwa dpp anayeitwa Biswalo.
Kinachomuweka ndani Sabaya ni kesi nyingine ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana wala siyo hiyo ya Rufaa.Kijijini kwenu wapi huko kuna mashauri ya rufaa na Civil Case na double jeopardy doctrine ?? Kijiji gani ??
Unaleta mizaha kwenye masuala muhimu ya haki jinai za raia. Don't be ridiculous.
Anyhow, Sabaya anastahili kuwa nje wakati wa rufaa.
Ndiyo yuko rumande kwa kesi nyingine ya uhujumu uchumi wala siyo hiyo Rufaa. Zipo kesi nyingine Takukuru ziko kwenye hatua za mwisho za upelelezi ili zifikishwe Mahakamani. Haponi aliacha alama nyingi sana katika ujambazi wake kwani aliaminishwa na yule mwovu kuwa atalindwa kwa lolote atakalofanya ili mradi tu Mbowe asurudi Bungeni. Aliyemponza yuko motoni yeye ataepuka vipi jela?Hivi unajua hakuna kesi kafungwa mpk sasa?
Kwaiyo hizi kesi sababu yake Mbowe kutorudi bungeni? Alafu kesi ya Ujambazi TAKUKURU anahusika vip? Labda nipe Elimu kidogo.Ndiyo yuko rumande kwa kesi nyingine ya uhujumu uchumi wala siyo hiyo Rufaa. Zipo kesi nyingine Takukuru ziko kwenye hatua za mwisho za upelelezi ili zifikishwe Mahakamani. Haponi aliacha alama nyingi sana katika ujambazi wake kwani aliaminishwa na yule mwovu kuwa atalindwa kwa lolote atakalofanya ili mradi tu Mbowe asurudi Bungeni. Aliyemponza yuko motoni yeye ataepuka vipi jela?
Kawaulize Takukuru wenyewe mamlaka hayo wameyapata wapi.Kwaiyo hizi kesi sababu yake Mbowe kutorudi bungeni? Alafu kesi ya Ujambazi TAKUKURU anahusika vip? Labda nipe Elimu kidogo.
🙄🙄🙄Kawaulize Takukuru wenyewe mamlaka hayo wameyapata wapi.