Hahahahah nimekumbuka msemo "simba akikosa nyama anakula hata nyasi".Hata vimbau nawapenda pia...kwani uchaguzi wa jiko unaangalia hayo mambo?
Wewe ukikosa vichi.. Unakula hata vimbaumbau [emoji23][emoji23]
Hahahahah nimekumbuka msemo "simba akikosa nyama anakula hata nyasi".Hata vimbau nawapenda pia...kwani uchaguzi wa jiko unaangalia hayo mambo?
Waoooh, basi ngoja nifuatilie chuo nikikipata tuu unilipie ada.
Hahahahahahaha eti kusomea upadre. Nimecheka daaah
Member since dec 2017[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji848][emoji848][emoji848]
Hahahaha vimbau ndio ugonjwa wangu...Hahahahah nimekumbuka msemo "simba akikosa nyama anakula hata nyasi".
Wewe ukikosa vichi.. Unakula hata vimbaumbau [emoji23][emoji23]
Kuwa na amani best.Sio langu mpenzi usinifanyie hivyo utanizalishia kesi za kujibu jimbo sio languu Hahahahahahahah
Haya.Hizo ni tarehe tu.
Usijali, mambo yanajipikaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daaah at least you gave me your word
Hebu vumilia usije ukafa tuu ukapumzika ukaacha wengine tukiendelea kusoma namba.Fanya hima, maana umeamua jambo lililo jema.
Halafu, fanya mpango basi kesho tuongee kuhusu issue yangu ilee!
Maana nakaribia kufa aisee.
Hebu vumilia usije ukafa tuu ukapumzika ukaacha wengine tukiendelea kusoma namba.
Siri ya huu mchezo ni kusoma namba wote. Utanipm namba zako basi au tutaongelea pm?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sawa bhanaaa.Hahahaha vimbau ndio ugonjwa wangu...
Ila hata machi yana mzuka wake
Ndiyo, kuwa tuu mvumilivu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daaah at least you gave me your word
Hachelewi kukwambia mambo hayakuiva.
Kumbe na yeye, anatabia za rangi nyingi kama kinyonga.
Ndiyo, kuwa tuu mvumilivu.
Utapata kitu ambacho hadi utajiuliza kwanini umechelewa kukipata.
Duh,si kwa kaburi hili..unataka nambia kwamba jembe hii itakua ni moja kat ya IDs zake mpya..muulizs hyo ID yenye miaka kumi yeye ni nanMember since dec 2017[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji848][emoji848][emoji848]
Soma between the lines, anasema "yanajipika". Ni aina fulani ya kuweka escape clause, kwamba hana control na matokeo.