Jamaa anatumia nguvu kuliko akiliNajaribu kui upload video husika inagoma lakini sijajua kwa nini IGP kaamua Jeshi la Polisi liaibishwe na mtu asiye na uelewa kama huyu. Yeye kila siku kuuza sura kwenye vyombo vya habari tena mauzo yenyewe ya aibu.
Mkuu na yenyewe itakuwa live luningani?Lazima lipingwe kwani halina maana tena. Agizo la kulifuta na usimamizi wake utafanywa na polisi. Leo ni tarehe 09/04 wote walioambiwa "I Love You" kisha kutungishwa mimba na kukimbiwa, wanakutana ofisini kwa The Great RC PCM @ DAB. Ktk mkutano ambao sentensi "I Love You" itapigwa marufuku na kukatazwa kutumika tena.
Bazazi

Form four failuresJamani elimu ya social science ni sehemu ya mafunzo hasa kwa viongozi. Huyu alipota mafunzo wapi? Ahmed Msangi hawezi kufanya vichesho hivyo.
And this friggingly crazy reverse is absolutely possible and a reality in the Civil Law Jurisdictions (The Continental Europe) and their colonial empires else where the world over...In Tanzania,you are guilty until proved innocent....Kinyume nyume.