Colu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 232
- 191
Huyu Headmaster ni wa siku nyingi,,, ila baada ya kutoka Malangali alienda Mzumbe high school then akateuliwa kuwa afisa elimu secondary Mbeya City Council,,, mara elimu secondary zilipopelekwa Serikali za mitaa,,,, sijui kama ndio huyo kwa cv hyoSeme ambaye alishakuwa Kigonsera na Lindi secondary au yupi?
