Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
Hahahaaah,,,,,,,,so ukiwa kazini naye akiwa ni muhusika hata umakini huwa unakosa??Hua napenda gestures zake na facial expression nacheka sana!
Hahahaaah,,,,,,,,so ukiwa kazini naye akiwa ni muhusika hata umakini huwa unakosa??Hua napenda gestures zake na facial expression nacheka sana!
" Your too low" ndo nini sasa halafu unakosoa elimu ya mwenzioNdugu yangu nadhani unatakiwa kurudi darasani maana unaonyesha ulivyo uwezo wako mdogo wa kuandika na hata kujieleza kwako(Your too low) aibu kabisa .Hakuna ulichoandika kuhusu huo udhalilishaji ulioupa hiyo heading.
Ndugu yangu nadhani unatakiwa kurudi darasani maana unaonyesha ulivyo uwezo wako mdogo wa kuandika na hata kujieleza kwako(Your too low) aibu kabisa .Hakuna ulichoandika kuhusu huo udhalilishaji ulioupa hiyo heading.
You are too low sio your too lowNdugu yangu nadhani unatakiwa kurudi darasani maana unaonyesha ulivyo uwezo wako mdogo wa kuandika na hata kujieleza kwako(Your too low) aibu kabisa .Hakuna ulichoandika kuhusu huo udhalilishaji ulioupa hiyo heading.
Wasaalam wanabodi,
Moja kwa moja kwenye mada:
Nilipokuwa ADVANCE MALANGALI SEKONDARY (Mafinga Iringa) nilipata kusoma vitabu tofaut tofauti vya historia, baadh vikizungumzia sifa za majeshi.
Gervas zombwe alibainisha sifa za askari police kama ifuatavyo
1. Igronance,( ujinga) askari Polisi haitaji kuwa na elimu kubwa,kwani kufanya hivyo ni kuwafanya wajitambue hivyo kuhoji mambo muhimu.
2. Psycophance(yes yes man) yaan polisi kafundishwa kusema ndio tu kutoka kwa mtu anayemzid cheo.
3, Much energy as opposed to brain( nguvu kubwa kuliko akili....
Zombwe aliandika mi nafupisha tu)
Nini kimenituma kuandika haya?
Nimeyadhitisha katika awamu hii ya utawala, nimeamini kuwa hizo hoja ni za kweli kabsa.
Watu hawa wameonyesha ujinga wa hali ya juu,hasa viongozi wa juu wa watu hawa, Ni viazi,mbumbumbumbumbuuuuuu kabisa mfano
kiongozi wa mkoa wa Polisi (R.P.C)anawakamata watu anaita vyombo vya habari na kuwahukumu.
Yeye ni mahakama? si wote wanaokamatw na jeshi la polisi wana makosa..kesi inaenda mahakamani kusikilizwa na hakimu
hii imenipia taswira na kilichoandikwa na zombwe ni kwel huu ni ujuha wa hali ya juu.
Mimi ni bora nipige debe kuliko kuwa na kazi ya kuwindana na binadamu wenzako kwa manufaa yasiyo ya kwako..
we ni bwege, huon anasema hawa wameiba flat screen, yeye ana uhakika gan ka wameiba,ka wamesingiziwa tu??Mtoa maada we ni kiazi sasa pale hukumu gani alio fanya. Hamna hata sehemu moja alio fanya judgement ila alicho fanya yeye ni kuhoji, ni kawaida sana kwa polisi kuhoji na kutoa onyo kisheria wameruhusiwa kutoa onyo either la kimaandishi au la kimazungumzo.
Kilaza mkubwa ww!! Alfu kazi ya polisi ni professional sio km ulivyo andika kwamba yahitaji nguvu, kitengo km Upelelezi, trafiki hizo nguvu unatumiaje. Kilaza ww!
ahaahaahaaha umekumbuka mbali bro (iyowanza) nilikuwa naenda kule gulionAsante ex-malangalian.Haswa umeiva na kuthibitisha umetoka ktk chungu kilichokupika vizuri.
Nimepita pale 2009-2011.
I love Malangali.
Thanks school-mate.
Akili na fikra finyu zinaongoza kijiji cha Ihowanza(Tz)
They are the stupid intellectual at the hill.
Seme ambaye alishakuwa Kigonsera na Lindi secondary au yupi?Mkuu kuandika shule na hiyo ID,,,, inakutambulisha mno kumbuka ulikuwa maarufu enzi zile,,,,, ila nafurahi umenikumbusha kitambo bonge la shule yenye mafanikio chini ya Mr Seme. Ameingilia na anaingilia sana kazi zenu huyo ni kweli utaratibu wake haufai
umeuliza kuwa RPC ni mahakama? naomba nikuulize amewahukumu adhabu gani? yeye amewatuhumu tu na atawapeleka mahakamani wewe kutangazwa kuwa wamekamatwa ni kosa? tuambie chini ya kifungu na sheria ipi? wewe mtoto wa malangali ficha upumbavu wakoWasaalam wanabodi,
Moja kwa moja kwenye mada:
Nilipokuwa ADVANCE MALANGALI SEKONDARY (Mafinga Iringa) nilipata kusoma vitabu tofaut tofauti vya historia, baadh vikizungumzia sifa za majeshi.
Gervas zombwe alibainisha sifa za askari police kama ifuatavyo
1. Igronance,( ujinga) askari Polisi haitaji kuwa na elimu kubwa,kwani kufanya hivyo ni kuwafanya wajitambue hivyo kuhoji mambo muhimu.
2. Psycophance(yes yes man) yaan polisi kafundishwa kusema ndio tu kutoka kwa mtu anayemzid cheo.
3, Much energy as opposed to brain( nguvu kubwa kuliko akili....
Zombwe aliandika mi nafupisha tu)
Nini kimenituma kuandika haya?
Nimeyadhitisha katika awamu hii ya utawala, nimeamini kuwa hizo hoja ni za kweli kabsa.
Watu hawa wameonyesha ujinga wa hali ya juu,hasa viongozi wa juu wa watu hawa, Ni viazi,mbumbumbumbumbuuuuuu kabisa mfano
kiongozi wa mkoa wa Polisi (R.P.C)anawakamata watu anaita vyombo vya habari na kuwahukumu.
Yeye ni mahakama? si wote wanaokamatw na jeshi la polisi wana makosa..kesi inaenda mahakamani kusikilizwa na hakimu
hii imenipia taswira na kilichoandikwa na zombwe ni kwel huu ni ujuha wa hali ya juu.
Mimi ni bora nipige debe kuliko kuwa na kazi ya kuwindana na binadamu wenzako kwa manufaa yasiyo ya kwako..
Haaaaacheni watu wafanye kazi zao, Wengi hamjui mtakalo ndo maana mnaishia kulalama tu.
Hakwenda kujifunza uandishi , nahis jiwe la gizani limekugusa ya kichwa hiyoo # polisifisiemuu!!!mwmbeki umewadhalilisha walimu wako waliokufundisha, uandishi wako ni mbovu sana.

Ni kweli,mie pia sikuwahi kosa kule.ahaahaahaaha umekumbuka mbali bro (iyowanza) nilikuwa naenda kule gulion
Acha kumwita mwenzio bwege jombaa...umewahi kuhudhuria mahakamani hata siku moja!!? Mtuhumiwa anaposomewa hati ya mashtaka huwa inaeleza hivyo..kwamba wew mwmbeki unashtakiwa kuwa mnamo tarehe hiyo muda huo sehem fulan uliiba tv flat screen yenye thaman hiyo mali ya rip faza_nelly kitendo ambacho ni kosa kisheria. Je huwa wanakosea kusema hivyo na pale ni mahakaman tena mbele ya hakimu??? Haijalishi umeiba kwel or hujaibawe ni bwege, huon anasema hawa wameiba flat screen, yeye ana uhakika gan ka wameiba,ka wamesingiziwa tu??