RPC Dodoma kadhalilisha Jeshi la Polisi

RPC Dodoma kadhalilisha Jeshi la Polisi

Ndugu yangu nadhani unatakiwa kurudi darasani maana unaonyesha ulivyo uwezo wako mdogo wa kuandika na hata kujieleza kwako(Your too low) aibu kabisa .Hakuna ulichoandika kuhusu huo udhalilishaji ulioupa hiyo heading.
Mi nadhani hana shida ya kiuandishi alichoandika kimeeleweka na kama hujaelewa basi we we ndio mwenye tatizo. Kumbuka hapa hayupo mwenye mtihani wa fasihi au ameandaa notes za undergraduates! Achani kucomplicate tujikite mwenye mada!! Mimi namsupport mtoa bandiko 100%. Jeshi letu lina matatizo ya kutokujua majukumu yake, nilimuona Hugo jamaa akimuhoji nabii Tito, nikajiuliza the same question. Hivi police imekuwa mahakama siku hizi?
Umbumbumbu wao huu ndio unapelekea hata watuhumiwa wengi kupata ulemavu au hata kufia mahabusu au mikononi mwao.
Unaweza kukamatwa na police na ukatii lakini lazima wakulambe marungu mabuti nk hii ni kukosa weredi.
In fact Jeshi letu la police linahitaji restructuring kubwa ili liweze kuwa chombo Cha kulinda RAIA na Mali zao.
Otherwise itabakia kuwa chombo cha kulinda maslahi ya wachache na upigaji!!!
 
Nakuwavua mashati hadharani ilikuwa na ulazima gani sasa? Et anamuuliza mtu kwanin kajiandika ILOVE YOU. Ingekuwa me mtuhumiwa ningemuhoji nikosa gan kisheria kujichora au ndo ulichonikamatia?
 
Ndugu yangu nadhani unatakiwa kurudi darasani maana unaonyesha ulivyo uwezo wako mdogo wa kuandika na hata kujieleza kwako(Your too low) aibu kabisa .Hakuna ulichoandika kuhusu huo udhalilishaji ulioupa hiyo heading.
Sidhan km alikuwa ktk suala la essay competition hapa, nadhan ujumbe wake umefika na ameeleweka vema.

Wewe mzee wa essay competition.. platform hii si yako, rudi darasani
 
Ndugu yangu nadhani unatakiwa kurudi darasani maana unaonyesha ulivyo uwezo wako mdogo wa kuandika na hata kujieleza kwako(Your too low) aibu kabisa .Hakuna ulichoandika kuhusu huo udhalilishaji ulioupa hiyo heading.
Your=you are
 
Mtoa maada we ni kiazi sasa pale hukumu gani alio fanya. Hamna hata sehemu moja alio fanya judgement ila alicho fanya yeye ni kuhoji, ni kawaida sana kwa polisi kuhoji na kutoa onyo kisheria wameruhusiwa kutoa onyo either la kimaandishi au la kimazungumzo.
Kilaza mkubwa ww!! Alfu kazi ya polisi ni professional sio km ulivyo andika kwamba yahitaji nguvu, kitengo km Upelelezi, trafiki hizo nguvu unatumiaje. Kilaza ww!
 
Ndugu yangu nadhani unatakiwa kurudi darasani maana unaonyesha ulivyo uwezo wako mdogo wa kuandika na hata kujieleza kwako(Your too low) aibu kabisa .Hakuna ulichoandika kuhusu huo udhalilishaji ulioupa hiyo heading.
Wewe ndo unakosoa wenzio???

Your too low ni kinyesi au mkojo??

Askari kasomeni maarifa ni muhimu.

All in all, askaris are too low.

NB: KINUKA TAYEULILA
 
Hivi huyu ndiye alihojiwa na BBC?

Binafsi naona hajawadhalilisha ila kaonyesha rangi yao halisi, sasa what do you expect kama ili uingie uaskari lazima ufeli maisha/shule
 
Back
Top Bottom