Ndalilo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,954
- 6,328
Kwahiyo VP ndo dereva kwa sasa! Watu wamepigwa mabomu huko mbagala, Makala na Mwegelo wamekwepa majukumu.Amekaimisha mkuu. Amesema pale bomang'ombe urais ameuweka pembeni kwa muda.
Yupo na lundo la makamera.