dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,603
- 60,862
sisi wa masaki je ?
Hizo route zote asubuhi au jion asee hazishikiki....Bado zimebaki nyengine ambazo zilikuwa sumbufu angalau sikuhizi naona kidogo afadhali
MBAGALA - UBUNGO
MBAGALA - G/MBOTO
MBAGALA - GEREZANI VIA KILWA ROAD
Kivipi sijakuelewaSawa tumesha jua wewe na ukoo wako mzima mna miliki magari.
Mambo ya route kuanzishwa nmemkumbuka mwaibula
Sjui huyu mwamba yuko wapi sahvi
Ova
Mkuu Kama sio under 21 basi ulikuwa kijijini na mjini hauna muda.Ndio nani huyo mkuu??
Nzuri sana hii kwakweliM/complex to Kigamboni Via Nyerere Bridge
Ungesema unaenda wapi na umesimama wapi upewe mwongozoJamani Tufufue hii mada, mtusaidie sisi wageni wa huu mji kuelewa baadhi ya ruti maana siku mbili hizi nimesimama zaidi ya masaa mawili kila kituo kusubiria gari za kutoka sehemu moja kwenda ingine kisa sijui kama kuna ruti ingine inayoweza kufanya nifike niendako hata kama itakuwa ni gari zaidi ya mbili
Natokea kivule shuleni naenda ubalozi wa marekani, njia nayotumiaga ni kivule banana kwa bajaji then banana nasubiri gari za kawe au masaki, but naona hii inanifanya kilasiku nikae banana karibu lisaa na zaidi kwani gari zinapita zimejaa na hazisimamiUngesema unaenda wapi na umesimama wapi upewe mwongozo
Smart911
Hapo Banana panda zinazoenda Gerezani au Mnazi mmoja...Natokea kivule shuleni naenda ubalozi wa marekani, njia nayotumiaga ni kivule banana kwa bajaji then banana nasubiri gari za kawe au masaki, but naona hii inanifanya kilasiku nikae banana karibu lisaa na zaidi kwani gari zinapita zimejaa na hazisimami