Na huku arusha ruti sio rafiki sijui kwa sababu ya mji ulivyo kama unatumia vifodi unajikuta kuna mahali bodaboda inakuhusu kama sio reggae!Tuna komenti wapi kwani, sisi wa Ushirombo..!!??
Bado zimebaki nyengine ambazo zilikuwa sumbufu angalau sikuhizi naona kidogo afadhaliRoute yamoto ulioisahau ni MBEZI-MUHIMBILI ambayo sasa haipo lakini ilikuwa noma, nakumbuka ilikuwa mpaka update seat ni mshike mshike wa maana kama si kuibiwa basi kuingia kwa bus lakini uwe na ngeo kidogo au uchafuke kana kwamba haukufua nguo....
Mkuu, naambiwa sifa kubwa ya chugga ni kwamba karibu kila mtu anamiliki chumaNa huku arusha ruti sio rafiki sijui kwa sababu ya mji ulivyo kama unatumia vifodi unajikuta kuna mahali bodaboda inakuhusu kama sio reggae!
we unaona wamejikwaa wapi mkuu, maana mifumo hii inawekwa na binadamu na inakuwa na mapungufu, sema chochote tuweza kujenga pamoja.
Mkuu, naambiwa sifa kubwa ya chugga ni kwamba karibu kila mtu anamiliki chuma
NAKUONA MKAZI WA MBANDE UNAVYOJIMWAYA MWAYA HAPA.....ILA HIZO ZA MUHIMBILI SIJUI NI ZIPO CHACHE AU NINI,MAANA KUNA DAY NILIKAA ALMOST ONE HOUR KUSUBIRI HAZIJI IKABIDI NIKWEE ZA GEREZANIGerezani to kiponza via kilwa road.
Gerezani to mbande kisewe kilwa road.
Muhimbili to kisewe/magenge via kilwa road.
Stesheni to mmbande kisewe/magengeni.
Gerezani to mmbande magengeni via chan'gombe road
mbagala tunajichagulia tu sikuhizi hakuna shida Kama ya zamani
Hazipo nyingi Ni chache Sana ila ukizibambia Basi akhaa!! Unajimwaya tuNAKUONA MKAZI WA MBANDE UNAVYOJIMWAYA MWAYA HAPA.....ILA HIZO ZA MUHIMBILI SIJUI NI ZIPO CHACHE AU NINI,MAANA KUNA DAY NILIKAA ALMOST ONE HOUR KUSUBIRI HAZIJI IKABIDI NIKWEE ZA GEREZANI
YAH NI KWELI NA NILIKUWA NA HARAKA HIYO SIKU IKABIDI NICHUKUE LA GEREZANI,NILIVYOSHUKA NIKATEMBEA MDOGO MDOGO HADI MUHIMBILI....WAYAONGEZE AISEE WAPUNGUZE HIYO ADHA YA MTU KUSUBIRI MUDA MREFUHazipo nyingi Ni chache Sana ila ukizibambia Basi akhaa!! Unajimwaya tu
Yes wakifanya ivyo watakua wamesaidia sanaYAH NI KWELI NA NILIKUWA NA HARAKA HIYO SIKU IKABIDI NICHUKUE LA GEREZANI,NILIVYOSHUKA NIKATEMBEA MDOGO MDOGO HADI MUHIMBILI....WAYAONGEZE AISEE WAPUNGUZE HIYO ADHA YA MTU KUSUBIRI MUDA MREFU
Mkuu hujazunguka majiji ya Africa, nenda Lagos, Kampala au Nairobi. Lagos na Kampala kuna vipanya, Kampala boda boda zinazingua, foleni zisizo eleweka. Nairobi ata stand ni mtihani, nauli inabadilika badilika. Kuna wazungu walikuja Dar kitu walicho sifia ni daladala. Walisema zinafika pembe nyingi za mji na kwa bei nafuu sana. Changamoto zipo ila siwezi nikasema hamna zuri. Mtu unatoka Makumbusho mpaka Mloganzila kwa chini ya buku! 800 kama sijakosea.For commuter buses transportation within the cities in the world, DSM City is the HELL.
Sijawahi kuona jiji lingine lenye mfumo mbaya WA usafirishaji Watu ndani miji mikubwa kwenye nchi zote nilizowahi kuzuru hapa duniani kama ilivyo ktk jiji LA DSM. Commuter transport within DSM is worse of the worse. Wala hata sina hamu nayo!
Kwenye hili la route ya Buguruni to Mbezi kuna kitu kimoja unapaswa uelewe, kuna sehem hapa Dar ni transit stations yaan hizo sehem zipo within a route ikiwemo BuguruniHili jiji ratio ya wasafiri na usafiri ipo mbali mbali sana
Yaani kuna uhitaji mkubwa wa usafiri hasa barabara za pembezoni na zile za matoleo!
So far hizo route hapo zipo vizuri
Pamoja na mloganzira to Makumbusho
Ila wameharibu kuondoa gari za Buguruni Mbezi
Mbezi to Sinza jamani kuna ulazima gani wa kupanda gari mbili? Kwann gari zisiunge tu nowadays barabara ya mawasiliano kutokea Sinza Madukani ni lami ya kiwango tu kwanini kusiwepo na route ya Mbezi to sinza via Mawasiliano road!??