Walichoharibu hapo ni darajani pale ile tozo ya gari kama bado ipoM/complex to Kigamboni Via Nyerere Bridge
Anagonga beer mitaa ya Sinza kijiweni..Mambo ya route kuanzishwa nmemkumbuka mwaibula
Sjui huyu mwamba yuko wapi sahvi
Ova
hapa dar sijui gari za wapi hwa hazijazi.
lakini huwa najiuliza kwanini route ya masaki/kariakoo gari zake zimechoka namna ile.watoto wa kinondoni/msasani/masaki mlishirikishwa katika hili swala au hujuma tu???
hili ni kweli aisee, gari za kutoka k/koo kwenda masaki nyingi zimechoka mno.Kwa hyo mtu akinunua tu eicher lake anajiandikia tu Bunju-Buza?Ruti nyingi huanzishwa na wenye magari wakiona faida wanaongeza magari ukiona ruti imefutika jua haina faida.
Kawe Segerea imaua Simu2000 Segerea gari zimebaki chache
Unaifaham makumbusho-mloganzila?Morroco /bunju sokoni ruti ndefu hii jamani.
.
.Atakwambia,,,@Kidukulilo una maoni gani kuhusu wachangiaji wa hii mada![]()
Toa maoni yako basi.For commuter buses transportation within the cities in the world, DSM City is the HELL.
Sijawahi kuona jiji lingine lenye mfumo mbaya WA usafirishaji Watu ndani miji mikubwa kwenye nchi zote nilizowahi kuzuru hapa duniani kama ilivyo ktk jiji LA DSM. Commuter transport within DSM is worse of the worse. Wala hata sina hamu nayo!
Sinza kituo cha mabasi kinawezwa kuwekwa wapi ili daladala zianzie hapo na kuishia hapo ?
Sawa tumesha jua wewe na ukoo wako mzima mna miliki magari.Atakwambia,,,
"Hivi kuna watanzania bado wanapanda daladala?ooh c'mon guys...kabisa mtu unapanda daladala na unajiona uko sawa. Tafuteni pesa jamani muendeshe magari. Alafu utakuta mtu anaendesha Toyota nae anasema ana gari. Are you serious? Nunueni magari watanzania muache kupanda Toyota na daladala."