Routes za daladala zilizoleta mapinduzi DSM

Routes za daladala zilizoleta mapinduzi DSM

Zambotti

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2016
Posts
1,983
Reaction score
3,669
Kwa wale watumiaji wa usafiri wa daladala wenzangu mtakuwa pamoja nami, hususani wale ambao harakati nyingi na mizunguko ya hapa na pale katika kutafuta tonge la siku zinategemea matumizi ya usafiri huu.

D8.jpg

Wakati fulani kuna maeneo usafiri wa daladala ulikuwa mtihani kabisa katika baadhi ya maeneo, yalikuwa hayafikiki kwanza kwasababu ya miundombinu yake lakini pia umbali wake kutoka katikati ya mji.

d1.jpg




Kwangu mimi routes zifuatazo zimeleta mabadiliko makubwa na kulifanya jiji la DSM kuwa jepesi kufikika kutoka eneo moja kwenyda jengine lakini pia kutoka katikati ya mji kwenda maeneo husika.



1.GEREZANI TO KISEMVULE VIA KILWA ROAD

Route hii ya daladala imerahisisha usafiri wa kutoka mjini kuelekea ndanindani ya maeneo ya mbagala kuanzia mbande, maji matitu mpaka huko kisemvule.

D7.jpg

2.TEMEKE TO MBEZI VIA BUZA, KINYEREZI MPAKA MARAMBA.

Ebhana hili ni bonge la route ambalo kwanza ni linaua tabu ya usafiri wa maeneo kama vile malamba mawili na huko kinyerezi nauli yake ni 750, aliyebuni hii njia roue yuko vizuri sana.

D6.jpg


3. CHANIKA TO SEGEREA

Hii route tangu niione haijawahi kuwa rahisi kila niionape magari yake yako mtiti maana yake kipengele hiko kilikuwa na uhitaji mkubwa wa usafiri.

d4.jpg


4. TEMEKE STEREO TO TOANGOMA VIA KONGOWE



5. T/NYUKI - KKOO


d2.jpg


6. MBEZI TO M/MBUSHO VIA GOBA

Duhh siku ya kwanza kupanda hizi daladala sikuamini kama zitapita eneo nnalolitaka maana ziko complicated kidogo lakini ndo maendeleo yenyewe, wako vizuri eti.

d3.jpg


Hizi kwangu ni route za daladala ambazo kwa namna moja ama nyengine zimekuja kuondoa kero ya adha ya usafiri DSM.



UNAWEZA ONGEZA ZA KWAKO MKUU, KUSIFIA SI JAMBO BAYA..MAENDELEO HAYANA CHAMA..
 
Kwa wale watumiaji wa usafiri wa daladala wenzangu mtakuwa pamoja nami, hususani wale ambao harakati nyingi na mizunguko ya hapa na pale katika kutafuta tonge la siku zinategemea matumizi ya usafiri huu.

View attachment 1217682
Wakati fulani kuna maeneo usafiri wa daladala ulikuwa mtihani kabisa katika baadhi ya maeneo, yalikuwa hayafikiki kwanza kwasababu ya miundombinu yake lakini pia umbali wake kutoka katikati ya mji.

View attachment 1217670



Kwangu mimi routes zifuatazo zimeleta mabadiliko makubwa na kulifanya jiji la DSM kuwa jepesi kufikika kutoka eneo moja kwenyda jengine lakini pia kutoka katikati ya mji kwenda maeneo husika.



1.GEREZANI TO KISEMVULE VIA KILWA ROAD

Route hii ya daladala imerahisisha usafiri wa kutoka mjini kuelekea ndanindani ya maeneo ya mbagala kuanzia mbande, maji matitu mpaka huko kisemvule.

View attachment 1217680
2.TEMEKE TO MBEZI VIA BUZA, KINYEREZI MPAKA MARAMBA.

Ebhana hili ni bonge la route ambalo kwanza ni linaua tabu ya usafiri wa maeneo kama vile malamba mawili na huko kinyerezi nauli yake ni 750, aliyebuni hii njia roue yuko vizuri sana.

View attachment 1217678

3. CHANIKA TO SEGEREA

Hii route tangu niione haijawahi kuwa rahisi kila niionape magari yake yako mtiti maana yake kipengele hiko kilikuwa na uhitaji mkubwa wa usafiri.

View attachment 1217676

4. TEMEKE STEREO TO TOANGOMA VIA KONGOWE



5. T/NYUKI - KKOO


View attachment 1217674

6. MBEZI TO M/MBUSHO VIA GOBA

Duhh siku ya kwanza kupanda hizi daladala sikuamini kama zitapita eneo nnalolitaka maana ziko complicated kidogo lakini ndo maendeleo yenyewe, wako vizuri eti.

View attachment 1217673

Hizi kwangu ni route za daladala ambazo kwa namna moja ama nyengine zimekuja kuondoa kero ya adha ya usafiri DSM.



UNAWEZA ONGEZA ZA KWAKO MKUU, KUSIFIA SI JAMBO BAYA..MAENDELEO HAYANA CHAMA..
 
Hili jiji ratio ya wasafiri na usafiri ipo mbali mbali sana

Yaani kuna uhitaji mkubwa wa usafiri hasa barabara za pembezoni na zile za matoleo!

So far hizo route hapo zipo vizuri

Pamoja na mloganzira to Makumbusho

Ila wameharibu kuondoa gari za Buguruni Mbezi
 
Route ya P/stesheni, Kg/sokoni kwenda simu 2000 pia imerahisisha sana usafiri wa abiria kwenda mawasiliano na ubungo
 
Tuna komenti wapi kwani, sisi wa Ushirombo..!!??
 
Hili jiji ratio ya wasafiri na usafiri ipo mbali mbali sana

Yaani kuna uhitaji mkubwa wa usafiri hasa barabara za pembezoni na zile za matoleo!

So far hizo route hapo zipo vizuri

Pamoja na mloganzira to Makumbusho

Ila wameharibu kuondoa gari za Buguruni Mbezi
ROUTE YA Buguruni imepunguziwa sana magari yaani saahiz zimebaki za muhimbili na simu2000 kamasijakosea
 
Hili jiji ratio ya wasafiri na usafiri ipo mbali mbali sana

Yaani kuna uhitaji mkubwa wa usafiri hasa barabara za pembezoni na zile za matoleo!

So far hizo route hapo zipo vizuri

Pamoja na mloganzira to Makumbusho

Ila wameharibu kuondoa gari za Buguruni Mbezi
Tukizungumza kama hivi wadau watakuwa wanapata taarifa, tunaweza kuwa sehemu ya mabadiliko
 
Mbezi to Sinza jamani kuna ulazima gani wa kupanda gari mbili? Kwann gari zisiunge tu nowadays barabara ya mawasiliano kutokea Sinza Madukani ni lami ya kiwango tu kwanini kusiwepo na route ya Mbezi to sinza via Mawasiliano road!??
 
Ni wakati sasa wa kuangalia route ya moja kwa moja toka Kigamboni kupitia Kibada hadi Mwasonga
Vilevile hizi gari zinazotokea Makumbusho kupitia Sinza hadi Machinga Complex, mara nyingi ukifika pale Machinga hukuti gari hasahasa nyakati za jioni
 
For commuter buses transportation within the cities in the world, DSM City is the HELL.
Sijawahi kuona jiji lingine lenye mfumo mbaya WA usafirishaji Watu ndani miji mikubwa kwenye nchi zote nilizowahi kuzuru hapa duniani kama ilivyo ktk jiji LA DSM. Commuter transport within DSM is worse of the worse. Wala hata sina hamu nayo!
 
For commuter buses transportation within the cities in the world, DSM City is the HELL.
Sijawahi kuona jiji lingine lenye mfumo mbaya WA usafirishaji Watu ndani miji mikubwa kwenye nchi zote nilizowahi kuzuru hapa duniani kama ilivyo ktk jiji LA DSM. Commuter transport within DSM is worse of the worse. Wala hata sina hamu nayo!
we unaona wamejikwaa wapi mkuu, maana mifumo hii inawekwa na binadamu na inakuwa na mapungufu, sema chochote tuweza kujenga pamoja.
 
Back
Top Bottom