Rostam! - Tafadhali Bwana



Hapo kwenye red, wewe ni jinsia gani? Na je umefaidika na nini kwa Rostam?
 
nimechukia sana kwa jairo kusimamishwa kazi badala ya kufukuzwa eti kupisha uchunguzi
 
Umenena vyema mwanakijiji- Tafsiri ya kujivua gamba imeshakuwa hivi; wale wenye kashfa hasa za wizi kukimbia mkono wa sheria. Ni namna ya kuhalalisha ufisadi wa zamani kwa tendo moja tu la kuachia ngazi. Ni namna hatari kuliko kubaki kwenye wadhifa walionao. Ni namna inayologa akili za watz kufikiri kuwa ni "uadilifu".

Kwangu miye tafsiri ya kujivua gamba ingeendana na taratibu za kisheria kama ulivyoainisha hapo juu. Tafsiri ya kurudishia watanzania matumaini kwa kurudisha hata mali walizoibiwa.
 
yap, tatizo ni system nzima. Hapa ni zamu ya JK kujiuzulu na sio
wengine. maana analea matatizo.
 
kutatua matatizo yanayolikabili taifa nikutoa system nzima maana yote imajaa ulevi sio wapombe bali ni wamadaraka nakujisahau kuajibika
 
duh..!!! yamekuwa hayo tena?
Jamaa anakutisha kimafumbo?Ninaamini wengi tunaowazungumzia wamo humu personally,wapambe wao ni wachache sana.Wengi ni wao wenyewe wanakuja huku kulinda ugali by any means neccessary.
 
Mhh...unaonesha upo so obsessed na vimo na rangi na sura za watu...ironically wanaume. Saikolojia inaniambia mengi sana kuhusu wewe. Sitaki kusema..
Atakuwa demu,mwanaume gani anayeshupalia upupu kama huo,eti mfupi.Who cares?Mbona Ben Mkapa,Ali Mwinyi nk ni wafupi?Kama ingekuwa kigezo hata Bush asingekuwa rais wa USA.Huyu mtu anamchukia MKJJ haswa.Inaelekea harakati zake zimewagusa penyewe.
BTW i used to like Prison Break.Hiyo avatar yako if you know what i mean.
 

Natamani kumjua mtu huyu....!
 
Kilichonifurahisha kuliko yote ni pale alipohitimisha kwa kejeli kwamba CCM itaendelea kuwa na mbunge Igunga, lakini ukisoma ile paragraph he meant bila yeye CCM waisahau Igunga. Anywayz this guy wil remain in our history for a very long time. Vizazi vijavyo watatushangaa, watatulaani, watatucheka, watatusikitikia whenever a story of this guy will come up. And make no mistake this guy will also inspire some other people and especially those who believe money is everything!!!
 

Hapo kwenye red: Sasa kama Rostam Azizi ni mrefu na ana sura nzuri vitu ambavyo kwako wewe ni vigezo muhimu kwa mtu wa mafanikio (uongoze bora maybe?) sasa kwa nini mnafukuzana na kupeana majina magamba?
 

Mkuunakubaliana na wewe kabisa, naona hii ni geresha tu. Sababu ya RA kuwa kwenye nafasi hizi haikuwa kuchuma pesa kama wabunge, Mtu akiwa mwizi anatakiwa kufikishwa na mahakamani na kufungwa, sio kutangaza kujikuzulu na kukimbilia ulaya. Kumwacha mtu akimbie na remote control hakuna maslahi yoyote kwa taifa. Naamini kuwa RA ni smart politician ameiweka nchi mkononi, na kuamua kuachia ubunge hakuna maana kuwa ame-give up smartness ya kuinyioya Tanzania, bado ana influence na bado ana network.
 
Ana uhuru wa kufanya chochote bila watu kumsema kala pesa bomu za wabunge.

I hope ameendeleza jimbo lake vizuri jamani
 
,.., Daaaa.... mwanakijiji sikuwezi! wewe kweli umebobea.
 
Mwanakijiji ana usongo na RA, kwa mafanikio yake. Yeye masikini ya mungu kashindwa, roho ya uchawi na chuki zilizowazi ndio zinampelekea kusema hovyo.

Sijui alimyima kazi?
 
Mimi RA nina hasira sana, hawa jamaa wamemwaga mboga yangu sasa ugali ntakula na nini? sasa natamka bayana yafuatayo;
1. Ninaimarisha kitengo changu cha IT ili kazi zote nizifanye nikiwa huku ughaibuni
2. Hata mkija mnapiga magoti nawaambia Igunga Nitaenda tarehe 5/10/2011 na si kabla ya hapo.
3. Sitaongea na wazee wangu wa HHiigunga wamuunge mkono yeyote.
4. Zile bima na miradi mingine niliyoweka kule HHigunga najitoa.
5. Chadema sijawaona mpaka sasa, wanatakiwa waje tukae kama kamati ili wachukue na wanihakikishie hawatatamka neno ufisadi katika kipindi chote cha campaign.
6. Eti wameambiwa wanajua pa kunipata, ha ha ha, hawajui ninapatikana wapi, na simu zangu zote nazima mpaka tar 5 october wakati nataka nijue matokea kwa bwana Kifaru no kivaru ah kumbe ni bwana KIVALeur cha pakti.
Dreaming? no just tuned
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…