Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Mtoa mada ni kiazi yaan Rostam tangu lini akmiliki channel ten..ukiwa ccn unakuwa punguan
Mkuu, kwani hujui kuwa Channel Ten ni ya Rostam? Pole sana. Wa wapi wewe?
Mtoa mada ni kiazi yaan Rostam tangu lini akmiliki channel ten..ukiwa ccn unakuwa punguan
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.
Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!
Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.
hadhiaki afya ya mtu ila yeye anaomba hao matajiri waweze msaidia afu jua kuwa huyo ni kweli ni staff wa chanel ten.
Zombie katika ubora wake.Eti nawe una mama wa kiroho.Ivi nyie ccm mlioko humu mbona akili zenu za mavi mavi,mliokotwa wapi?harafu unalipwa kwa huu ushuzi.Chama kinakata pumzi watu wake nao akili zao ziko ICU.Tv One Ndiyo Channel One? Acha UPOPOMA Na Siku Nyingine Usipende KUKURUPUKA Kwani NITAKUCHANA " Live ".
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.
Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!
Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.
hadhiaki afya ya mtu ila yeye anaomba hao matajiri waweze msaidia afu jua kuwa huyo ni kweli ni staff wa chanel ten.
Hivi TV1 ina uhusiano wowote na chanel 10 na Rostam pia??? Maana jamaa alikuwa mfanyakazi wa TV1 mpaka anapata ajali na sio channel 10.Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.
Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!
Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.
hadhiaki afya ya mtu ila yeye anaomba hao matajiri waweze msaidia afu jua kuwa huyo ni kweli ni staff wa chanel ten.
hadhiaki afya ya mtu ila yeye anaomba hao matajiri waweze msaidia afu jua kuwa huyo ni kweli ni staff wa chanel ten.
Tokea lini Rostam kawa mmiliki wa Channel ten?
tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa channel 10 ambayo inamilikiwa na rostam ambaye ni rafiki wa lowassa, si mwingine, ni meshack nzowa.
Nampa sana pole kwa kuumwa nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!
Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.
Hayupo chanel ten. Meshack yupo chanel one.
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.
Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!
Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.