Rostam na Lowassa, msaidieni Meshack wa Channel 10!

Rostam na Lowassa, msaidieni Meshack wa Channel 10!

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,555
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.

Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!

Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.
 
Rweye nadhani umekurupuka na kuandika ujinga.
1/Meshack Nzowa ni mmtangazaji wa TV1.
2/Rostam Aziz sio mmiliki wa channel ten.

*Tusidhihaki afya za watu, meshark Nzowa alipata ajali mbaya sana, kwa sasa anatafuta pesa ili apelekwe haraka India ili kuokoa maisha yake, mtu yoyote anaweza kumchangia. Ugonjwa wake usiwe ni sababu ya kuwadhihaki wengine.
 
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.

Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!

Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.

Hizi ni dalili za Fistula ya ubongo,Rostam ameanza lini Kumiliki channel 10?
 
wew umechangia nini siku mke wako ataumwa utakuja omba rostam
 
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.

Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!

Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.

Meshack ni mtangazaji wa tv1 hivo haimilikiwi na rostamu ----- wewe.
 
Mwambieni Aliyemteua Waziri Wa Afya, Si Wana Bajeti Ya WAGONJWA Wizarani Kwake!! Au Hamphery Polepole, Au Kazi Yake Walikuwa Wanamualika Kwenda KUDHARIRISHA WATU Tu!!!
 
Hawana jipya ukawa, kazi forgery tu..

Search images kwenye google neno hili "les images du grand meeting de cellou dalein diallo au da laisde peuple de conakry en guinee" kuona picha ambayo chadema wanaisambaza na kusema ni mafuriko ya Arusha.
 
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.

Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!

Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.

Tunazo fedha za kutosha za kodi zetu za uuzwaji wa kinyemela wa hisa mbalimbali achilia mbali zile hewa za TANROADS.
 
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.

Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!

Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.

Umeugua Festula ya Ubongo sasa mkojo unatiririka kwenda kwenye Ubongo wa Akili usipo wahi utakuwa kichaaaa.
Rostam na Lowasa wanaingiaje Chanel tena.
 
Badala ya kuhoji zamaa wa kwa. Bibi mkubwa wapo mjengoni miaka yapata sitini na bado mtu hata akianguka kwenye mnazi anapelekwa india wakati madakitari tunao tatizo vifaa tiba tuu cha kushangaza............angalia wewe
Nawakilisha.
 
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.

Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!

Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.

Tokea lini Rostam kawa mmiliki wa Channel ten?
 
rweye nadhani umekurupuka na kuandika ujinga.
1/meshack nzowa ni mmtangazajiwa tv1.
2/rostam aziz sio mmiliki wa channel ten.

*tusidhihaki afya za watu, meshark nzowa alipata ajali mbaya sana, kwa sasa anatafuta pesa ili apelekwe haraka india ili kuokoa maisha yake, mtu yoyote anaweza kumchangia. Ugonjwa wake usiwe ni sababu ya kuwadhihaki wengine.
hadhiaki afya ya mtu ila yeye anaomba hao matajiri waweze msaidia afu jua kuwa huyo ni kweli ni staff wa chanel ten.
 
hadhiaki afya ya mtu ila yeye anaomba hao matajiri waweze msaidia afu jua kuwa huyo ni kweli ni staff wa chanel ten.

Wala usitetee ujinga hapa, huko ni kudhihaki Afya ya mwingine, Meshack yuko serious sick na anaomba msaada ili akatibiwe, halafu mtu anakuja hapa kufanya dhihaka ya kumwombea msaada. Huo ujinga pelekeni huko huko kwenu, sio kuleta ujinga hapa JF.
 
Back
Top Bottom