ndevu mzazi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 687
- 238
Rostam anamiliki african media ambayo ina channel 10,magic fm,na kadhalika.pamoja na magazeti ya mtanzania na rai
rostam anamiliki african media ambayo ina channel 10,magic fm,na kadhalika.pamoja na magazeti ya mtanzania na rai
Ungenijibu na kunielewesha kwa staha ungefanya vema zaidi
Huu ndio utanzania wetu...kuheshimiana hata tunapotofautiana...
Sijawahi kuwa popoma na haitakaa itokee niwe popoma....I'm a sane being ninaetegemewa na nchi yangu na family yangu....
Above all, I've learnt to be thankfull and grateful, irrespective
Ninadhani angekuwa ametenda ipasavyo kama angewaomba wagombea wote wa urais kumchangia. Hasa Magufuri anaetumia fedha nyingi kuwalipa wasanii wasio na tija yeyote katika kampeni zake.
Tv One Ndiyo Channel One? Acha UPOPOMA Na Siku Nyingine Usipende KUKURUPUKA Kwani NITAKUCHANA " Live ".
Rweye umeaibisha nshomile wenzio,nakushauri urudi tena kwenu update rubisi kwa senene bila kusahau ebitoke kwa mputa labda akili itabusti
Rostam anamiliki african media ambayo ina channel 10,magic fm,na kadhalika.pamoja na magazeti ya mtanzania na rai
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.
Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!
Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.
Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!
Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.
Tokea lini Rostam kawa mmiliki wa Channel ten?
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.
Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!
Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.
Mkuu, kwani hujui kuwa Channel Ten ni ya Rostam? Pole sana. Wa wapi wewe?
Hapa badala ya kuona ni jinsi gani tutamsaidia huyu ndugu tunaleta siasa....hivi waliweka namba yoyote ya mpesa au nyinginezo ambapo mtu yeyote anaweza kutuma alichonacho?
Rostam anamiliki african media ambayo ina channel 10,magic fm,na kadhalika.pamoja na magazeti ya mtanzania na rai