Story ya thread hii si kamili. Nimelitafuta gazeti hilo na kuisoma story yote. Inavyoelekea makachero wa gazeti hilo walikuwa wanafuatilia ingia-toka ya ofisi hiyo ya EL hapo Alpha DryCleaners ambayo haiko mbali sana na ofisi za IPP, wachapishaji wa gazeti hilo la Taifa Letu.
Hizi ingia-toka za vigogo hawa ziliongezeka maradufu baada tu ya mpango wa tanesco kununua mitambo chakavu ya Dowans kukamwa na vikao hivyo vinaonekana ni crisis talks. Si kazi kubwa sana kuspeculate walikuwa wanaongea nini.
Mnadhani walikuwa wanaongea namna ya kuwapiga vita mafisadi?
unajuwa kitu cha kushangaza ni kuwa, dhidi ya tuhuma zote mnazotowa kwa ra, hao wengine sijui, sijaona hata mmoja humu jf aliesema sasa nakwenda mahakamani kumfungulia mashtaka ra, mpaka nikatowa wazo humu, kwa mwenye nia na mwenye kuweza, atangaze jf apatiwe ushahidi au apatiwe ushauri wa vipi aanze kumfungulia kesi ra. Hivi maneno, kejeli, vijembe, matusi bila ya kutenda (action) inasaidia kweli? Sidhani, kinacho washinda ni nini kufanya hivyo? Au mnaogopa kuwa haya ni maneno tu na porojo za kijiweni na hamna ushahidi wa kosa lolote alilofanya na mkifanya action itawageukia?
Ra kimyaaa, kapowa, anafanya vitu vyake taratibu na wala humsikii kusema sema hovyo, mie nasema siku zote, mtikila alileta ngebe akaonyeshwa action ndogo tu, akaufyata.
Chuki na kero zenu zina agenda fulani, mimi naiita agenda ya siri. Lakini kwa ukweli ni kwamba, hamna hoja kabisa bali ni chuki binafsi za kibaguzi, ama kwa rangi yake au kwa dini yake au kwa fedha yake.
Jamani naomba kujua Jana mchana Rostam amekula nini?
Saa sita mchana jana Lowassa alikuwa amevaa nguo gani?
Makamba Mzee, katibu wa CCM jana saa kumi alikuwa anaongea na nani?
Ni hayo tu.
Wabongo bwana!
Mi investment aliyokuwa nayo Tanzania na nchi nyingi duniani inatosha kabisa kumnyima usingizi, na hizi za JF hata sijui kama ana time ya kuziona.
Watanzania tunasikitisha; yaani watu hawawezi hata kuunganisha dot zilizoko mbele yao wanabakia kuulizana kama doti hii ni kubwa au ndogo, ina rangi kama ile, mbona doti hazionekani vizuri!
Hivi nilipowaambia kuhusu mkutano wa Dubai.. mnajua nani mwingine alikuweko? Tukiwaambia mtasema walikuwa wameenda kufanya shopping! Waacheni watawale wapendavyo!
mtoto wa mjini(dar es salaam) unalipwa bei gani, kwa utetezi kama huu?????, NINAISI UJAAJIRIWA BALI UNAJILIPA MWENYEWE (RA). HAMNA AJA YA KUTUMIA KIVULI CHA DAR UNGEWEKA TU RA? AU CONFIDENCE ZERO?
Watanzania tunasikitisha; yaani watu hawawezi hata kuunganisha dot zilizoko mbele yao wanabakia kuulizana kama doti hii ni kubwa au ndogo, ina rangi kama ile, mbona doti hazionekani vizuri!
Hivi nilipowaambia kuhusu mkutano wa Dubai.. mnajua nani mwingine alikuweko? Tukiwaambia mtasema walikuwa wameenda kufanya shopping! Waacheni watawale wapendavyo!
Sioni hoja hapa, waache wakutane. Kwani wewe unapokutana na wenzako kijiweni ni lazima muwe mnapanga maovu? Kwani uhuru wa kukutana umeishaondolewa? Nimesoma hoja zote mlizoleta sebuleni sikuona la maana mnalopigia kelele zaidi tu ya hisia. Si afadhali wanakutana mchana kweupe, je wangekuwa wanakutana usiku si ndiyo ingekuwa balaa, mnasema lakini sijaona hoja kabisa.
Mzee DSM nakuunga mkono 100% kama kuna mtu mwenye ujasiri ajitokeze basi tumsaidie kumpeleka RA mahakamani kuliko kelele za chura zisizo mzuia tembo kunywa maji. Mimi siupendi kabisa UFISADI lakini napenda kuchukua hatua pale ninapoona ukweli upo. Leteni ukweli tushughulike.
Acha mawazo mgando wewe unadhani Ze Komedi hii? hata Komedi wanazungumza ya maana siku hizi pamoja na kuburudisha. Hao ndio wanaopanga matumizi ya kodi yako. Wakisema watanzania hakuna umeme maana yake hakuna. Wakisema hela ya kununulia dawa hospitali wanafanyia sherehe za harusi za watoto wao hakuna wa kuhoji.Jamani naomba kujua Jana mchana Rostam amekula nini?
Saa sita mchana jana Lowassa alikuwa amevaa nguo gani?
Makamba Mzee, katibu wa CCM jana saa kumi alikuwa anaongea na nani?
Ni hayo tu.
Wabongo bwana!
Iwe iwevyo. Kama walikutana kweli kwa malengo yale yale ya siku zote ama kwa mipango ya sherehe za harusi, EL na RA si watu wazuri hata kidogo.Tuliwapuuza awali wakati wanapanga mikakati ya kushinda uchaguzi leo hii nchi nzima inaimba wimbo kuhusu ufisadi. Hivi tunadhani kama RA na EL wasingekuwepo leo hii tungekuwa hapa? Kwa nchi za wenzetu wanaojua madhara ya ufisadi hawa viumbe wangekuwa wameshaning'inia kwenye vitanzi siku nyingi.
Haitoshi kuwafuatilia tu inabidi sasa kufanya jitihada za makusudi kabisa kuvunja nguvu zao maana aina hii ya watu hawana tofauti na Osama kitabia. Wataanza kuandaa vizazi vya kuwarithi baadae pindi wakiwa hawapo kitu ambacho ni hatari.
Nyerere aliona mbali sana, EL ana bahati tu kipindi kile Mwalimu alikuwa hana dola maana sidhani kama angeweza kumwacha mtu kama huyu kuendelea kuivuruga nchi kwa tamaa zake.
Ingekuwa hivyo ningekuwa na time ya kubishana humu? na isingekuwa Dar... ingekuwa Igunga au Tabora.
Hapana sitetei, nnachojaribu kufanya ni kuhamasisha, sioni sababu ya kumsakama mtu kwa labda Rangi yake, labda Kabila lake, labda Utajiri wake, labda Dini yake, kweli kabisa, sijaona mpaka leo data za kumhusisha na ufisadi unaosemwa, ikiwa Richmond, wenyewe tumeshawajuwa, ikiwa Dowans hali kadhalika sijaona jina la RA, au nyie mmeshaliona? kama mna ushahidi wa kutosha si mumshatkai mahakamani mnangoja nini?
Sasa, nawapa wazo lingine, kama mnaogopa kumshitaki na ushahidi mnao, basi mimi najitolea, nikusanyieni ushahidi wote, wanasheria humu ndani wasaidiane kuuchambuwa ushahidi, si wapo wengi tu, wakiona unafaa kumpeleka mahakamani na kuna uwezekano wa kushinda, basi mimi ntakwenda kushtaki mahakamani kwa niaba ya JF, tufunguwe account mchangie gharama za mahakama na usumbufu wangu, mnasemaje kwa hilo? tufanye action ya uhakika sio kulalama tu.
tatizo sio ushahidi , tatizo ni mahakama, serikali na security organs ambazo zipo kwenye payroll yako na ndio zinazokupa kiburi cha kusema neno ushahidi
those who protects you, how long are they going to be in their positions?
I can see you are trying to recruit one for the future?
for how long are you gonna maintain the status quo????
We dont just hate you, we will get rid of you.