Rostam Aziz's House for Sale

Nov 11, 2008
782
38
Katika jitihada za kuongeza mshiko wa kampeni, RA ameamua kuuza nyumba yake ya Mwananyamala. aliyekuwa tayari offer inakaribishwa.

Ina swimming Pool na umeme plus maji viko line ya IKULU.

i325_nyumba.jpg
 
Duh....nimeishiwa ngivu kabisa!.....I was thinking ''big''...kumbe......kazi kweli kweli!
 
Tupatie picha ya hiyo nyumba na specifications zake. Itakuwa ya urithi au????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Du Mwananyamala!!! Kiwanja ni low, medium au ni high density????? Kwi kwi kwi kwi!!!! Weka picha kama ile picha ya nyumba ya Manji upanga!!!!!! Ya Manji inatisha, sijui hii ya mwekezaji mwenzake imekaaje.
 
Kama huna cha kusema vemaukae kimya; tatizo mikono inawasha lakini ni kujishushia hadhi maana watu hapa wanaona kuna tatizo la IQ may be; why ujiweke ktk kundi la watu ambao you are here to make bla bla? SICKNESS
 
du ! hii inawafaa sana wajapani na china kwani Vyura wanapatikana kwa wingi sana hapo........:confused:
 
Tupatie picha ya hiyo nyumba na specifications zake. Itakuwa ya urithi au????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Du Mwananyamala!!! Kiwanja ni low, medium au ni high density????? Kwi kwi kwi kwi!!!! Weka picha kama ile picha ya nyumba ya Manji upanga!!!!!! Ya Manji inatisha, sijui hii ya mwekezaji mwenzake imekaaje.

ANGALIA ATTACHMENT



Kama huna cha kusema vemaukae kimya; tatizo mikono inawasha lakini ni kujishushia hadhi maana watu hapa wanaona kuna tatizo la IQ may be; why ujiweke ktk kundi la watu ambao you are here to make bla bla? SICKNESS

WEWE MALUNDE MALUNDI wewe ndio unawashwa vidole mpaka macho na akili vinashindwa kugundua thread iko kwenye FORUM gani pole mwenzetu kwa kudakia.
 
Jamani JF ius for serious people kama umetumwa kuja kupoteza muda.....sio hapa.period.
 
hii post mwenyewe kaitundika kwenye thread ya jokes/utani kwa hiyo sioni kama anakosa lolote kwa vile ina sifa ya kuwa joke/utani.
otherwise wanaosema kuwa jf ni kwa great thinkers,then wanashindwa kuelewa kuwa ukiwa great thinker katika thread ya joke/utani then you still qualify to be a great thinker.
 
I think .........is not fit to be a member of great thinkers.

Jamani JF ius for serious people kama umetumwa kuja kupoteza muda.....sio hapa.period.

hii post mwenyewe kaitundika kwenye thread ya jokes/utani kwa hiyo sioni kama anakosa lolote kwa vile ina sifa ya kuwa joke/utani.
otherwise wanaosema kuwa jf ni kwa great thinkers,then wanashindwa kuelewa kuwa ukiwa great thinker katika thread ya joke/utani then you still qualify to be a great thinker.

Thank you, addition TO BE A GREAT THINKER YOU NEED ANALYTICAL SKILLS. sio tu unafikiria fikiria mpaka unashindwa au kupitwa na vitu muhimu and simple kama ukitaka kusoma posting yoyote ni vyema uangalie na forums, any way tuendelee tutawajua GREAT THINKERS NI KINA NANI.
 
Thank you, addition TO BE A GREAT THINKER YOU NEED ANALYTICAL SKILLS. sio tu unafikiria fikiria mpaka unashindwa au kupitwa na vitu muhimu and simple kama ukitaka kusoma posting yoyote ni vyema uangalie na forums, any way tuendelee tutawajua GREAT THINKERS NI KINA NANI.

Unapanic nini? umepost kwenye utani jamani! So kubali kutaniwa.
 
Back
Top Bottom