Caspian Mininga > Richmond > Dowans Holdings!!!
Na kwa nini yeye kama mmoja wa watu waliokuwa implicated hakuweza kuonyesha roho ya kizalendo na kurudi nchini kwa ajili ya kutoa ushahidi!!!
Kumbuka ndio alikuwa mweka hazina wa CCM. In addition ndiye aliyekuwa kingmaker! Tumekwishaaaa.Hivi kama kina Rostam ndo wako CC ya CCM tutegemee nini toka chama hiki? na hiyo Sirikali yao Je!
Hivi kama kina Rostam ndo wako CC ya CCM tutegemee nini toka chama hiki? na hiyo Sirikali yao Je!
Rostam na wenzie wengi hapa ndo wamevuka mstari. Walichoilimbikizia hapa na nje ambacho tuna uwezo wa kukifikia vitaifishwe na Fisadi apewe masaa ya kuondoka nchini. Na serikali iangalie upya sheria zetu zinazowabana wazawa na kuwabeba wakuja hadi wanafikia kutudharau kiasi hiki. Tupo tunamsubiri JK aanze rasmi kumuenzi Nyerere kwa vitendo.
Kisingov
Hamna kitu huyo....ni kutapatapa tu..yeye anachotakiwa kujibu ni yale yaliyomo kwenye ripoti. Na kama amejidai kununua hayo magazeti siyo rahisi kwamba atanunua yote....
Cha muhimu atuelezee kati yaliyoandikwa kwenye ripoti yapi sahihi...aweke bayana kwamba ana uhusiano wowote na hiyo Rich--mondu.
Muda wa ubabaishaji umekwisha....tufanye kazi zetu kwa umakini.
JF kwa vichwa bwana, yaaani sina hamu maana haya maneno yameandikwa na kichwa, heshima mbele mkuu Babelwa1971
Rostam Aziz alitakiwa atoe maelezo kuhusu uhusiano wake na Kampuni za Richmond na Dowans Holdings S.A, baada ya mashahidi kadhaa kudai kuwa ana uhusiano nazo.
Aidha, alitakiwa aeleze kwa nini anwani ya barua pepe ya kampuni yake ya Caspian Construction Ltd, ilitumiwa na Dowans.
Lakini alipoulizwa na Mtanzania jana, Rostam alisema yeye ana kampuni ya ukandarasi na amekuwa akifanya kazi na makampuni mbalimbali bila kujali mambo ya kisiasa.
Mimi ni mkandarasi, nimefanya kazi na nitaendelea kufanya kazi na makampuni mengi, sina la kuficha katika hilo, kwani kila mtu anajua kampuni yangu, alisema.