EL+RA=UFISADI
Member
- Jul 4, 2010
- 56
- 6
Nimepata taarifa leo kutoka kwa mtu aliye karibu na Rostam Aziz kuwa fisadi huyu aliyechonga dili zima la Richmond/Dowans sasa ameandaa timu ya viongozi mbali mbali wenye ushawishi kwenye jamii ambao wataibuka kwenye vyombo vya habari kuishinikiza serikali iwalipe Dowans.
Atatumia vyombo hivi kueneza propaganda yake: Tanzania Daima, Clouds FM, TBC1, Channel Ten, Mtanzania/Rai, Jambo Leo, Daily News, Habari Leo, Sauti Huru, etc.
Watu hawa wataibuka kuwapinga vikali Samuel Sitta na Harisson Mwakyembe na kutaka wafukuzwe kwenye uwaziri.
Pia wataitisha serikali kwa vitisho vya uwongo kuwa iwalipe Dowans haraka ama sivyo mali za Tanzania nje zitakamatwa, riba itaongezeka, eti Tanzania kamwe haiwezi kukwepa kuwalipa Dowans, wakati Mahakama Kuu ina uwezo kutupilia mbali hukumu ya ICC.
Wahariri wa vyombo hivyo tajwa vya habari wameshaandaliwa kutoa taarifa hizo prominently kwenye ukurasa wa mbele au kwenye vipindi maalumu vya TV na redio.
Watu hao mashuhuri wastaafu na wa sasa ni pamoja na wanasiasa, wanasheria, viongozi wa dini, waandishi wa habari, etc.
Tayari AG wa zamani, Jaji Mark Bomani, kashapewa mlungula na kuropoka hadharani kuunga mkono malipo haramu kwa Dowans.
Bomani has already been compromised na mafisadi. Wamemuweka pale Serengeti Breweries Limited kama mwenyekiti wa bodi na kumlipa senti zinazomfanya apoteze maadili. Serengeti Breweries inamilikiwa na mafisadi wa kihindi kina Mehta na wengine ambao waliiba pesa nyingi za Watanzania kupitia Benki Kuu (BoT).
Bomani kapewa rushwa na Rostam Aziz ili aibuke kutetea malipo kwa Dowans. Rostam sasa hivi anatoa pesa kwa watu ambao wanaonekana na influence kwenye jamii kushinikiza Dowans walipwe. Yupo radhi kutumia shilingi milioni 500 kugawa rushwa kwa viongozi hawa ili apate malipo ya shilingi bilioni 100.
Bado wataibuka viongozi wengine mashuhuri muda wowote sasa kuunga mkono malipo kwa Dowans ili kujaribu kuwachanganya wananchi.
Kuna jitihada kuwaweka sawa kina Prof. Ibrahim Lipumba wa CUF, Hamad Rashid wa CUF, Zitto Kabwe wa Chadema (kashanunuliwa siku nyingi na Rostam), John Shibuda wa Chadema, James Mbatia wa NCCR Mageuzi, John Cheyo wa UDP, Augustino Mrema wa TLP na Christopher Mtikila wa DP watoke hadharani kuunga mkono malipo kwa Dowans.
Hapo tutajionea wazi jinsi viongozi wetu wanavyonunulika kirahisi kutokana na njaa kubwa waliyokuwa nayo na kukosa uzalendo kwa nchi yao wenyewe.
Stay tuned.... The Dowans circus is about to begin!
Atatumia vyombo hivi kueneza propaganda yake: Tanzania Daima, Clouds FM, TBC1, Channel Ten, Mtanzania/Rai, Jambo Leo, Daily News, Habari Leo, Sauti Huru, etc.
Watu hawa wataibuka kuwapinga vikali Samuel Sitta na Harisson Mwakyembe na kutaka wafukuzwe kwenye uwaziri.
Pia wataitisha serikali kwa vitisho vya uwongo kuwa iwalipe Dowans haraka ama sivyo mali za Tanzania nje zitakamatwa, riba itaongezeka, eti Tanzania kamwe haiwezi kukwepa kuwalipa Dowans, wakati Mahakama Kuu ina uwezo kutupilia mbali hukumu ya ICC.
Wahariri wa vyombo hivyo tajwa vya habari wameshaandaliwa kutoa taarifa hizo prominently kwenye ukurasa wa mbele au kwenye vipindi maalumu vya TV na redio.
Watu hao mashuhuri wastaafu na wa sasa ni pamoja na wanasiasa, wanasheria, viongozi wa dini, waandishi wa habari, etc.
Tayari AG wa zamani, Jaji Mark Bomani, kashapewa mlungula na kuropoka hadharani kuunga mkono malipo haramu kwa Dowans.
Bomani has already been compromised na mafisadi. Wamemuweka pale Serengeti Breweries Limited kama mwenyekiti wa bodi na kumlipa senti zinazomfanya apoteze maadili. Serengeti Breweries inamilikiwa na mafisadi wa kihindi kina Mehta na wengine ambao waliiba pesa nyingi za Watanzania kupitia Benki Kuu (BoT).
Bomani kapewa rushwa na Rostam Aziz ili aibuke kutetea malipo kwa Dowans. Rostam sasa hivi anatoa pesa kwa watu ambao wanaonekana na influence kwenye jamii kushinikiza Dowans walipwe. Yupo radhi kutumia shilingi milioni 500 kugawa rushwa kwa viongozi hawa ili apate malipo ya shilingi bilioni 100.
Bado wataibuka viongozi wengine mashuhuri muda wowote sasa kuunga mkono malipo kwa Dowans ili kujaribu kuwachanganya wananchi.
Kuna jitihada kuwaweka sawa kina Prof. Ibrahim Lipumba wa CUF, Hamad Rashid wa CUF, Zitto Kabwe wa Chadema (kashanunuliwa siku nyingi na Rostam), John Shibuda wa Chadema, James Mbatia wa NCCR Mageuzi, John Cheyo wa UDP, Augustino Mrema wa TLP na Christopher Mtikila wa DP watoke hadharani kuunga mkono malipo kwa Dowans.
Hapo tutajionea wazi jinsi viongozi wetu wanavyonunulika kirahisi kutokana na njaa kubwa waliyokuwa nayo na kukosa uzalendo kwa nchi yao wenyewe.
Stay tuned.... The Dowans circus is about to begin!