Unaandika wewe na kujipa u-crap mwenyewe.Chwiii'Nchale uneingia takoni!crap!!
Hapana Mkuu when it comes to ufisadi na issue za rushwa.., only assumption is enough, tukingoja mpaka tupate proof beyond reasonable doubt tutashangaa nchi imeuzwa na hakuna mtu responsibleDo you agree that the accused must be presumed to be innocent until his guilt is established by legal and competent evidence beyond reasonable doubt ?
...rostam katuibia sana watanzania...ashtakiwe kwa mjibu wa sheria za nchi..
Tell me whaaaat?Hata vibaka wanaochomwa moto na kuuwawa kilj cku ni innocent'There is this one day, wanaowauwa vibaka na kuwachowa moto will show him what hell looks like. Simple! SOB!The man is innocent, regardless of your personal feelings towards him
Ubunge hawezi achia kwani kanuni za bunge na katiba bado vinaruhusu mafisadi kuwa waheshimiwa. Tena, hawana aibu kabisa hata mtu akipatwa na kashfa ya aibu lakini ubunge haachii.
Hii ndo habari yenyewe, nimeongea naye anasema hakuna kitu cha namna hiyo
Hii ni habari za kizushi, anasema huu mchezo wa habari za kusadikika zinachezwa na
wanaccm wanzake hili kumchafua hasahasa katibu muenezi,
amesema "hii itasababisha chama changu kuwa hatari wakiendelea na mchezo huu" mwsho wa kunukuu
Wakuu ndo hayo tu
kwa fikra za kawaida sidhani kujiuzulu fisadi mkuu kutasaidia kusafisha chama cha magamba cha msingi ni full commitment ya wa2 wote ndani ya chama kufuata miiko na original principles za chama na kuacha ufusadi kwa style hta akijiuzulu JK na wengine bila kuacha unafiki na ufisadi ccm 2015 na chaguzi zijazo wataisoma number ya cdm vizuri
Yet, he is still innocent as no court has found him guilty of anything....