Mchaga 25
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 464
- 114
Hizi ni habari za masikitiko makubwa ambazo zinaonyesha nguvu ya mafisadi inavyofanya kazi hapa Tanzania, tathimini inaonyesha rostam alitakiwa kulipa billion 1 kama kodi lakini kilichotokea ni afisa mhusika aliyafanya hiyo tathimini kafukuzwa kazi baada ya kukubali kufia nchi.
More details willn be made available soon.
More details willn be made available soon.