Tunaishi kwenye vyanzo vya kuaminika wakati huo huo tunataka mwenye habari kamili atujuze,maana yake nini?
Ungekaa kimya tu tungeelewa,na mbaya zaidi huyo muiran wala hatuna mpango nae maana kama kula keshakula vya kutosha na viongozi wetu walikula nae hivyo tunasonga mbele kuangalia yanayofuata.