Hii habari nimeisikia asbh RFA kwenye uchambuzi wa magazeti ila silikumbuki ,mgelifatuta ili tujue alipokimbilia 2015 baafa ya mageuzi asakwe
mkubwa muogope Mungu, nami kipindi fulani niliwahi kusema hivyo lakini analysis ilipofanyika ndio nikajiona mjinga tu na akili iliyopo ni kukaa tu kwenye keyboard kama hiviHama wewe ambaye umeliwa naye,mimi hajanila!!!!!!!!!
Hii habari nimeisikia asbh RFA kwenye uchambuzi wa magazeti ila silikumbuki ,mgelifatuta ili tujue alipokimbilia 2015 baafa ya mageuzi asakwe
Habari zenu wana Jf?mkubwa muogope Mungu, nami kipindi fulani niliwahi kusema hivyo lakini analysis ilipofanyika ndio nikajiona mjinga tu na akili iliyopo ni kukaa tu kwenye keyboard kama hivi
Kwa hiyo? Hiyo habari peleka michuzi blog ndiyo kuna habari za kimbembea.
tatizo siku hizi kiswahili kimepoteza mwelekeo!Katika hili hakuna cha kumuogopa mungu,narudia na hasa kwako wewe ambaye unaonekana mgumu wa kuelewa:Mkuu mimi sijaliwa na Rostam,kama wewe umeliwa naye basi ni huko huko lakini mimi hajanila hata kidogo si najijua Bwana!!!!!!!!!! na hata huyo Mungu unayemzungumzia anajua kwamba mimi sijaliwa na Rostam kama wewe haya ni hukohuko.
so what?
Mkuu, labda kwako ni za kimbea mbea. Kwa wengine kwetu kila habari ni muhimu, hata iwe ya udaku. Kazi inabakia ya kuzichuja, ipi ukubali na ipi ukatae.Kwa hiyo? Hiyo habari peleka michuzi blog ndiyo kuna habari za kimbembea.
BORA wewe umesema umesikia kwenye uchambuzi wa magazeti,acha huyu mtoa mada ambaye anatuambia kwamba zimetoka kwenye chanzo chake cha kuaminika halafu anaomba wakuu wamjulishe zaidi!huyu jamaa hana akiliaeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!
Hebu angalia hii
By Bwana Mapesa![]()
Habari zenu wana Jf?
Kuna tetesi nimeipata kutoka kwenye chanzo cha kuaminika kwamba yule Mfanyabiashara na Mwanasiasa mtata R.A ameondoka rasmi nchini jana..hii ni baada ya kuindosha familia yake kimya kimya na sasa amemalizia mwenyewe, kwa mujibu wa chanzo changu ni kwamba bwana R.A ameondoka nchini mazima ikiwa ni sehemu ya mpango wake wa kukimbia kivuli chake hasa baada ya kashfa za ufisadi kuzidi kuwaweka pabaya wafanyabiashara,viongozi na wanasiasa kwa ujumla.
Mwenye la kulijua zaidi na atiririke hapo chini.