Mswaada upitishwe tu,watu wenyewe hawazingatii maadili.
Mfano Mengi na huyo Rostam wote wanapotosha umma kuhusu mgombea wao Lowassa.
Mswaada upite tu.
Muswada ukipitishwa basi mimi nitapunzika kidogo hapa jukwaani mpaka uchaguzi upite.
Ukiona hivyo ujue masrahi ya mhusika yameguswa, Rostamu hatetei sheria za wala rushwa ziongezwe ukali na takukuru ipewe meno ila anaona sheria ya vyombo vya habari. Kama anaona masharti ni magumu ruksa ahamishe Mali zake kwasababu mtu mwenyewe hata si ndugu yetu alafu eti atupangie jinsi ya kuendesha nchi yetu, agenda uingereza akaanzishe media huko huko ...mwizi mkubwa huyu.
Hamna Rostam Hamna Lowassa. Ukisikia Lowassa anatafuta Urais jua anayeutaka Urais huo ni Rostam. Hawa wawili wameunganishwa na ufisadi. Wakisema Richmond ni Rostam jua ni Lowassa mwenye Richmond. Wapo pamoja ktk Vodacom nk. Vodacom walau kwa Siku mtu lazima kupitia voda lazima wamkate walau shilingi 50,000/ hizi ni za kampaini ya Lowassa.
Acha ubaguzi wa rangi wewe, alafu hao aliowaajiri kwenye kampuni yake utawapa ajira akihamishia kampuni yake nchi nyingine?
Hamna Rostam Hamna Lowassa. Ukisikia Lowassa anatafuta Urais jua anayeutaka Urais huo ni Rostam. Hawa wawili wameunganishwa na ufisadi. Wakisema Richmond ni Rostam jua ni Lowassa mwenye Richmond. Wapo pamoja ktk Vodacom nk. Vodacom walau kwa Siku mtu lazima kupitia voda lazima wamkate walau shilingi 50,000/ hizi ni za kampaini ya Lowassa.
Post yako haileweki kabisa yaaaani
Ukiona hivyo ujue masrahi ya mhusika yameguswa, Rostamu hatetei sheria za wala rushwa ziongezwe ukali na takukuru ipewe meno ila anaona sheria ya vyombo vya habari. Kama anaona masharti ni magumu ruksa ahamishe Mali zake kwasababu mtu mwenyewe hata si ndugu yetu alafu eti atupangie jinsi ya kuendesha nchi yetu, agenda uingereza akaanzishe media huko huko ...mwizi mkubwa huyu.
Mswaada upitishwe tu,watu wenyewe hawazingatii maadili.
Mfano Mengi na huyo Rostam wote wanapotosha umma kuhusu mgombea wao Lowassa.
Mswaada upite tu.