Nyadundwe
JF-Expert Member
- Jan 16, 2008
- 222
- 252
Hii miCCM sijui haijui kama hawa mahindi na maarabu wanaurafiki wa mashaka?
Ubaguzi.... Ukabila, Udini, Umajimbo, Ukanda!! Tuwakome Mafisadi kwa ufisadi wao please! Hawa Chenge, Richmomd, Karamagi, Balali Makapa....wote ni wamatumbi kabisa, ni CCM na Wanatuua polepole kwa ufisadi wao!