Rose Kamili Mke wa Dr. Slaa, amwaga mboga

Kweli kabisa magu ana peacemaker kwenye moyo..ndiomana hutakuja sikia kapanda ndege yupo angani zaidi ya masaa matano..

Halafu cha ajabu zaidi aliyetoa kibali cha kwenda india kutibiwa ni waziri mkuu mstaafu sumaye anaye mtia zengwe kisa kuhamia upinzani..

Kweli dunia sio mbaya walimwengu wabaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa magu ana peacemaker kwenye moyo..ndiomana hutakuja sikia kapanda ndege yupo angani zaidi ya masaa matano..

Halafu cha ajabu zaidi aliyetoa kibali cha kwenda india kutibiwa ni waziri mkuu mstaafu sumaye anaye mtia zengwe kisa kuhamia upinzani..

Kweli dunia sio mbaya walimwengu wabaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha chuki za ukabila ndugu. Hiyo kitu inaitwa Pacemaker na sio Peacemaker. Kwa mujibu wa uzandiki ulioandika hapo juu umetamka ya kwamba alienda kutibiwa India. Hapo hapo unatuambia ya kwamba hautakuja kusikia amepanda ndege yupo angani zaidi ya masaa matano. Unafahamu umbali wa kutoka India mpaka Tanzania kwa ndege!? Maana kama alienda India ni lazima alipanda ndege. Umbali wa kutoka India mpaka Tanzania ni masaa Sita na nusu mpaka masaa Saba. Ukiamua kuwa muongo ingia gharama ya kufanya utafiti kidogo itakusaidia huko mbeleni mkuu.
 
Acha chuki za ukabila ndugu. Hiyo kitu inaitwa Pacemaker na sio Peacemaker. Kwa mujibu wa uzandiki ulioandika hapo juu umetamka ya kwamba alienda kutibiwa India. Hapo hapo unatuambia ya kwamba hautakuja kusikia amepanda ndege yupo angani zaidi ya masaa matano. Unafahamu umbali wa kutoka India mpaka Tanzania kwa ndege!? Maana kama alienda India ni lazima alipanda ndege. Umbali wa kutoka India mpaka Tanzania ni masaa Sita na nusu mpaka masaa Saba. Ukiamua kuwa muongo ingia gharama ya kufanya utafiti kidogo itakusaidia huko mbeleni mkuu.
Nashukuru kwa kunisahihisha..kiingirishi hata mkuu kinampiga chenga..

Ila suala la kupanda ndege..na kua angani zaidi ya masaa ma5 hutakuja kulisikia kitoka kwa mkulu..

Nakuhusu baada ya matibabu..alirudi na ndege maalumu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom