OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,716
Dr.Willibroad P. Slaa
Itakua RB N40 ndio inamoto wa kutosha kupiga pushups kma robotHapo kwenye battery sasa sijui ni Panasonic au national special.
Post by Shindu Namwaka.
hahahaa umezisahau bikini zako hizo..Mbona kama chupi zimeanikwa kwa Jukwaa?
Acha chuki za ukabila ndugu. Hiyo kitu inaitwa Pacemaker na sio Peacemaker. Kwa mujibu wa uzandiki ulioandika hapo juu umetamka ya kwamba alienda kutibiwa India. Hapo hapo unatuambia ya kwamba hautakuja kusikia amepanda ndege yupo angani zaidi ya masaa matano. Unafahamu umbali wa kutoka India mpaka Tanzania kwa ndege!? Maana kama alienda India ni lazima alipanda ndege. Umbali wa kutoka India mpaka Tanzania ni masaa Sita na nusu mpaka masaa Saba. Ukiamua kuwa muongo ingia gharama ya kufanya utafiti kidogo itakusaidia huko mbeleni mkuu.Kweli kabisa magu ana peacemaker kwenye moyo..ndiomana hutakuja sikia kapanda ndege yupo angani zaidi ya masaa matano..
Halafu cha ajabu zaidi aliyetoa kibali cha kwenda india kutibiwa ni waziri mkuu mstaafu sumaye anaye mtia zengwe kisa kuhamia upinzani..
Kweli dunia sio mbaya walimwengu wabaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa kunisahihisha..kiingirishi hata mkuu kinampiga chenga..Acha chuki za ukabila ndugu. Hiyo kitu inaitwa Pacemaker na sio Peacemaker. Kwa mujibu wa uzandiki ulioandika hapo juu umetamka ya kwamba alienda kutibiwa India. Hapo hapo unatuambia ya kwamba hautakuja kusikia amepanda ndege yupo angani zaidi ya masaa matano. Unafahamu umbali wa kutoka India mpaka Tanzania kwa ndege!? Maana kama alienda India ni lazima alipanda ndege. Umbali wa kutoka India mpaka Tanzania ni masaa Sita na nusu mpaka masaa Saba. Ukiamua kuwa muongo ingia gharama ya kufanya utafiti kidogo itakusaidia huko mbeleni mkuu.
Katerero haijawahi kumuacha mtu salama
zile za kichinachinaHapo kwenye battery sasa sijui ni Panasonic au national special.
Post by Shindu Namwaka.