Uwe unapiga hodi.....Wana JF Hayo yalikua mawazo yake lakini to be sincere heri hata mke kipofu kuliko mke mzuri wa sura asiye na heshima ukitaka kufanya utafiti uliza waliooa sura watakuambia,sio vibaya kuoa wazuri ila ukweli ndo huo.
Alaa kumbe ndio Rose huyu mi nilikuwa namsikia redioni tu!!
huyu ndio Rose Chitalla mwenyewe
Kwa hiyo na yeye asiolewe kwa sababu sio mzuri? Alipotoka mia
Kama ndiyo huyo kwangu mimi naona hata yeye sio mzuri wala hana shape kwa sababu kila mtu na namna anavyodefine uzuri. Imempasa aache kujadili watu ambao hakuwaumba yeye kwa sababu kila mtu ameumbwa alivyo kwa mipango ya Mungu mwenyewe. waswahili husema hujafa hujaumbika
Alaa kumbe ndio Rose huyu mi nilikuwa namsikia redioni tu!!
huyu ndio Rose Chitalla mwenyewe
Hiyo bia labda Ze kick au Bingwa.Kwa msiojua huu mguu wa Rose Chitala ndio unaitwa mguu wa bia!
huyu ndio rose chitalla mwenyewe