Kiziza
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 439
- 76
Ilikuwa ni topic inayosema uzuri wa Sura/Umbo au uzuri wa Tabia kipi ni muhimu zaidi kwa Mwanamke Times Fm.
Rose Chitala alishikilia msimamo wake kuwa uzuri wa sura/umbo ndio muhimu zaidi kwa mwanamke,huku mtangazaji mwenzie ambaye alikuwa ni mwanaume akisisitiza uzuri wa tabia ndio muhimu kwa mwanamke.
Ndipo Rose alipomwambia eti kama uzuri wa Mwanamke ni tabia basi oa Chongo.
Hivi kweli hii ni sentensi ya kutamka redioni tena kwa mwandishi wa habari?
Hivi ameshawahi kusikia neno Unyanyapaa?
Nimeshindwa kumuelewa!!
Rose Chitala alishikilia msimamo wake kuwa uzuri wa sura/umbo ndio muhimu zaidi kwa mwanamke,huku mtangazaji mwenzie ambaye alikuwa ni mwanaume akisisitiza uzuri wa tabia ndio muhimu kwa mwanamke.
Ndipo Rose alipomwambia eti kama uzuri wa Mwanamke ni tabia basi oa Chongo.
Hivi kweli hii ni sentensi ya kutamka redioni tena kwa mwandishi wa habari?
Hivi ameshawahi kusikia neno Unyanyapaa?
Nimeshindwa kumuelewa!!