Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
aende bwanaa..alishaanza kuwa gunia la misumari... ww mtu gani toka achemke world cup hajarudi kwenye form na anaongezea skendo za malaya....afterall nahisi mwisho wake utakuwa mbaya kama wote walioondoka man-utd bila ridhaa ya babu...jap stam, davy beckham, ruud van neesterloy na wengineo....pia akitoka anawwachia vijana namba nao watishe mbaya....GOOOO ROOONEY....