Ronaldo kavaa kufuli ya kike kata....

Ronaldo kavaa kufuli ya kike kata....

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
425426_511394155560850_1669935_n.jpg
 
Yaani hamtataki kusumbua vichwa kabisaa, kila mnachoona mnatoa coments tu! hiyo yaweza kuwa picha duka (photoshop)
 
Mambo ya Adobephoto hayo. Mie haini ingii akilini. Kisayansi mtu anae funguliwa buti hawezi kuwa na nguvu kwani atashindwa bana pumnzi ili ku restore energy. Angalia wamama wakati wa kujifungua wanavyo pata shida. Hivyo Cr7 asingeweza cheza mpira kwa nguvu. Acheni uzushi.
 
Yaani hamtataki kusumbua vichwa kabisaa, kila mnachoona mnatoa coments tu! hiyo yaweza kuwa picha duka (photoshop)

Hizo chupi za kiume zipo, kama vipi pita Quality Centre, kule juu kuna duka la vyupi ulizia hiyo modeli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom