Nshakuwa bosi tena? Siku moja ukipata nafasi uje maeneo ya Mamsera tule kitimoto pale kwa Mwarabu...Mkuu boss wangu kwa wakamangi[emoji28]
Weweee rudi shule mkuu kichwa chako kina matatizo wapi umeona nmeegemea kwenye dini ya mtu hapo ?
Waje kwangu tu ndio Mahala salama kwa watoto wa kike nchi nzima.Watoto wakike sasa wakimbilie wapi? Shuleni walimu wanabaka, makanisani ndio hivyo, uraiani ndio hata usiseme!
MUNGU hadhihakiwiJeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Mchungaji wa Kanisa la Siloam lililopo katika Kijiji cha Manda Chini wilayani Rombo, Amani Upendo kwa madai ya kumbaka mwanafunzi wakati akimfanyia maombi.
Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Kanali Hamis Maiga amesema tukio hilo lilitokea Agosti 30, 2022 wakati binti huyo alipokwenda kwenye maombi, baada ya familia yake kuzunguka kwa muda mrefu kumtafutia tiba ya ugonjwa wa kuanguka uliokuwa ukimsumbua.
“Huyu mchungaji anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kumbaka mwanafunzi, aliyekuwa na ugonjwa wa kuanguka, baada ya familia kujaribu kumtibu hospitalini pamoja na sehemu nyingine ikashindikana.
“Hivyo wakaamua kumpeleka kwenye maombi, kwa hiyo akiwa kwenye maombi ndipo mchungaji alipofanikiwa kumbaka," amesema Kanali Maiga.
Akisimulia tukio lilivyokuwa, Mwenyekiti wa Kijiji Manda Chini, Ernest Mrosso amesema siku hiyo wakati tukio linatokea binti huyo alikuwa ametumwa kusaga mahindi aliporudi nyumbani alijiandaa kwenda kwenye kanisa la mchungaji huyo kwa ajili ya kwenda kuombewa.
"Alipofika nyumbani aliacha ule unga akawa amekwenda kwenye maombi na alikuwa na wenzake ikafika mahali mchungaji akawaambia wale aliokuwa nao waondoke yeye ataendelea kumwombea binti huyo.
"Wakati akimwombea huyu mtoto alidondoka chini ndipo mchungaji alipomchukua na kwenda kumfanyia unyama huo aliofanya, hatimaye mtoto alipokuja kuzinduka ndio akakuta tayari amefanyiwa unyama huo ndipo alipochukuliwa na kupelekwa hospitali," amesema Mrosso.
Mwenyekiti huyo amelaani kitendo hicho huku akisema ni unyama ambao haufai kabisa kwa kiongozi wa kiimani kufanya tukio la namna hiyo na kusema ni kitendo ambacho kimeichukiza jamii.
Chanzo: Mwananchi
Dah we acha tuu...Hao jamaa wanawazaga kut*omba tu. Yaani wanajidanganya mbinguni ni danguro kila mtu anat*mba 24 hours
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Dah we acha tuu...
Mwamba ana sisitiza swala tano ili akale mabikra 72
Mkuu au Mimi kipofu
Emu soma hio sentensi vizuri sio kwa mhemuko inaashiria nini?
Sasa yeye ana maanisha nini hapo baada ya kupinga yeye ananasibisha na kile kinachofanyika kwa mlengo wa kwamba mboni wengine wanafanya sasa hio inamaanisha nini km sio kusapoti kinachofanyika?
Inamaana kwamba km wengine wanafanya kwa hio haitakiwi kupinga pale mwingine anatokea na kufanya Jambo km hilo au Mimi ni kipofu sioni?
Au wewe umeelewa nini hapo mkuu?
Okay mkuu hapo sasa nimekuelewa vizuri labda uwasilishaji wako wa mwanzo ulipelekea Mimi kuelewa tofauti ila sasa nmekuelewa mkuuNilimnukuu na kumkumbusha mtu aliyejielekeza kupeleka lawama kwa viongozi wa makanisa yasiyo ya kikatoliki pekee, kwamba hata katika kanisa hilo kongwe kuna viongozi wapumbavu wanaovuka mipaka ya uadilifu...(kuna jamaa ktk uzi huu wamefanya citations ya matukio husika kwa kuweka links unaweza ukapitia).
Unapohadaa umma kwa kuaminisha kwamba katika kanisa kongwe hakuna hayo matukio, ina maana wazazi wanaweza hadaika na kudhani watoto wao hawapo hatarini wakiwa kwenye kanisa kongwe.
Ndio maana nikahitimisha kwa kuandika, yatupasa watu wote kama wazazi/walezi, kuwalinda watoto wetu dhidi ya ukatili huu.
Natumai hadi hapa utakuwa umeelewa mantiki ya post ile...
Okay mkuu hapo sasa nimekuelewa vizuri labda uwasilishaji wako wa mwanzo ulipelekea Mimi kuelewa tofauti ila sasa nmekuelewa mkuu
Peace be upon you
Shalom!