Roman Reigns and Dean Ambrose special thread

a69d65c58187b66459c9e6c6a659e7a8.jpg


android phone
Mkuu kuna match walizirukisha, sikuziona. Niliangalia kupitia Sony. Match ya Randy vs Rusev, Cena vs Cobin, Ya Natalya sikuiona, New day vs The Uso (Hii niliona matokeo)
Nipe feedback mkuu wa hizi mechi
 
Mkuu kuna match walizirukisha, sikuziona. Niliangalia kupitia Sony. Match ya Randy vs Rusev, Cena vs Cobin, Ya Natalya sikuiona, New day vs The Uso (Hii niliona matokeo)
Nipe feedback mkuu wa hizi mechi
Randy alimpiga Rusev, Cena alimpiga Cobin na Natalya alipata mkanda baada ya kumpiga Naomi. Kwa matokeo mazuri Cheki AFN Sport 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Randy alimpiga Rusev, Cena alimpiga Cobin na Natalya alipata mkanda baada ya kumpiga Naomi. Kwa matokeo mazuri Cheki AFN Sport 2

Sent using Jamii Forums mobile app
Unampata John Morrison? Yule best friend wake na the Miz kipind wapo WWE. Yupo TNA. Duh! Nimefurahi sana. Sasa hiv anajiita Johhny Impact.
Alberto De reo yupo TNA
 
Unampata John Morrison? Yule best friend wake na the Miz kipind wapo WWE. Yupo TNA. Duh! Nimefurahi sana. Sasa hiv anajiita Johhny Impact.
Alberto De reo yupo TNA
TNA inaonyeshwagwa na Sony six ila nachukiaga marudio ni meengi. Kuna kipindi AFN inarusha jumamosi inaitwa wwe XNT nayo nataka niifuatilie naona iko vizuri. TNA naona wanashindaga Wahindi tu siku hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TNA inaonyeshwagwa na Sony six ila nachukiaga marudio ni meengi. Kuna kipindi AFN inarusha jumamosi inaitwa wwe XNT nayo nataka niifuatilie naona iko vizuri. TNA naona wanashindaga Wahindi tu siku hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wwe NXT haiko vizuri kihivyo huwa naangalia main event.
Ila NXT kuna Drew na bob rood walikuwa wanagombania mkanda wa NXT. Ameshinda Drew
Drew alikuwa Wwe, akaenda TNA tena amerudi wwe. Ni noma sana.
 
Yaliyotokea leo wwe Night raw. General Meneja alitangaza Mechi ya Royal ipigwe kwa mastar kadhaa ili apatikane Burger King atakaeshindana na The Mez kwenye No mercy na baada ya wengi kutolewa alibaki Jafary kwenye kundi la Hardy boyz. Lingine Kwenye Nor mercy pia ni Braw Strwoman na Brock Lesna watapigana kwenye Wire. Pia Roman Rain na John Cena pia watapigan pia hii ni baada ya leo kuwapiga akina Calos/Anderson baada ya kuingilia leo kwenye Event yao. Akishinda Cena atakuwa ndio anashikilia Wrestlmania ambaye anashikilia sasa Roman Rain alipompiga The Ander teka na hatimae The Ander kustaafu. Pia Ale amempiga Sasha leo na kumnyanganya mkanda wa wwe woman Championship. Mwisho upande wa Cruws weight ni yule Dogo alikuwa na Big Case atapambana na anaeshikilia sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaliyotokea leo wwe Night raw. General Meneja alitangaza Mechi ya Royal ipigwe kwa mastar kadhaa ili apatikane Burger King atakaeshindana na The Mez kwenye No mercy na baada ya wengi kutolewa alibaki Jafary kwenye kundi la Hardy boyz. Lingine Kwenye Nor mercy pia ni Braw Strwoman na Brock Lesna watapigana kwenye Wire. Pia Roman Rain na John Cena pia watapigan pia hii ni baada ya leo kuwapiga akina Calos/Anderson baada ya kuingilia leo kwenye Event yao. Akishinda Cena atakuwa ndio anashikilia Wrestlmania ambaye anashikilia sasa Roman Rain alipompiga The Ander teka na hatimae The Ander kustaafu. Pia Ale amempiga Sasha leo na kumnyanganya mkanda wa wwe woman Championship. Mwisho upande wa Cruws weight ni yule Dogo alikuwa na Big Case atapambana na anaeshikilia sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nlie muita Dogo ni Enzo Amore. Na Ale ni Alixa Bliss. Pia kulikuwa na Mechi ya Dean/Rolin na Shemus/Sesaro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo SmackDown leo. Tag Tearm Kelvin/Benjamen wameshinda. J usso wamewapiga New day. Andry Orton/Shinshe Nakamoa wamewapiga Jinder Mahor/Rusev ila baada ya kushinda Orton alimvizia Nakamua Kwa KO hivo kutakuwa na mechi baina yao. Aj Style ameendea kuwa butua wakina Kobel na kuendelea kuwa steel Amerika Championship, Maskin Zemzain Kafanyiwa fitina na Kelvin Owen. Ni hayo tu na mengine machache ambayo sijayaandika kwa leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo SmackDown leo. Tag Tearm Kelvin/Benjamen wameshinda. J usso wamewapiga New day. Andry Orton/Shinshe Nakamoa wamewapiga Jinder Mahor/Rusev ila baada ya kushinda Orton alimvizia Nakamua Kwa KO hivo kutakuwa na mechi baina yao. Aj Style ameendea kuwa butua wakina Kobel na kuendelea kuwa steel Amerika Championship, Maskin Zemzain Kafanyiwa fitina na Kelvin Owen. Ni hayo tu na mengine machache ambayo sijayaandika kwa leo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umepata wapi hiz taarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Smackdown ya jumanne hii Aj style bado anashikilia mkanda wa U.s.a baada ya kumshinda Kelvin Owen. Nakamoa jampiga John Cena hivo Nakamua atashindana na Jinder Maharaja kungangania mjanda anaoushikilia.

Owen kaomba wa rematch halafu Shane awe referee nasikia nayo kabutuliwa,Aj kashinda. Hivi nakamura na maharaja washazichapa?? Namkubali shunsuke nakamura jomoni
 
Owen kaomba wa rematch halafu Shane awe referee nasikia nayo kabutuliwa,Aj kashinda. Hivi nakamura na maharaja washazichapa?? Namkubali shunsuke nakamura jomoni
Walishazichapa Kama ujuavyo Maharaja mzee wa kusaisiwa kashinda. Smackdown Ijayo ni Andry Orton na Nakamua ndio watazichapa. Aj Style na Kobel.na huenda Shane wakazichapa na Kelvin Owen.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Raw John Cena amempiga Jese mtoto wa Kurt Angle ambaye ni General Manager kwa sasa. The mez amempiga Jafari hivo bado anashikilia interContinetal. Kama Kawa akina Dean wamewatwangwa akina Galos. Crusweight wakina Enzo Amore wameshinda. Ni hayo machache tu kati ya mengi ya leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia ilikuwepo mechi ya Bigshow na Brown Strowman ambayo ilikuwa ndani ya waya. Ukweli big show alimpiga sana huyo jamaa ila tatizo ni uzito wa Big show ndio umemfanya apigwe na hadi akawa nyanganyanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom