masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,676
- 12,342
Kwa wapenzi wa miereka huyu jamaa hafananishwi
Refer Hell in the cell alivyo garagaza vigogo wa WWE mpaka kina KO
Kumbe jamaa wanatamani sana title yake kina shemus na kundi la New day,
Twende moja kwa moja kwenye kundi alilounda triple H likawa na shemus na rusev na kina del rio
Hakyanani jamaa kagaragaza wote na ni wapganaji wa kutegemewa
Kwa kweli nimefurahi sana
Huyu jamaa natamani kuijua historia yake
Kwa mechi ya leo kwa kweli mi namtakia kila la heri
Amkungute vizuri sheamus
Refer Hell in the cell alivyo garagaza vigogo wa WWE mpaka kina KO
Kumbe jamaa wanatamani sana title yake kina shemus na kundi la New day,
Twende moja kwa moja kwenye kundi alilounda triple H likawa na shemus na rusev na kina del rio
Hakyanani jamaa kagaragaza wote na ni wapganaji wa kutegemewa
Kwa kweli nimefurahi sana
Huyu jamaa natamani kuijua historia yake
Kwa mechi ya leo kwa kweli mi namtakia kila la heri
Amkungute vizuri sheamus