Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Daaaahhhhhhh,wewe jamaa ni shida tupu!
Usisahau kuni-tag!
 
Hatari sana..! Utajili huu..! lazma uwe na akili mingi na roho mbaya ndio ufanikiwe
 

Ulitaka nisifie wanyakyusa ??

F.O.H
 
Pia wale wote ambao wameomba kuwaongeza kwenye taglist, nafanya hivyo next time mtaona majina yenu nimeongeza kwenye list
kwa hakika hadithi hii ya chanzo cha utajiri wa roman abramovich ina reflect 100% circle ya watz wachache waliotajirika kupitia udhaifu wa serikali ya ccm nyakati za utawala wa mkapa na kikwete. sitakuja kusahau yale maskendo ya upotevu wa mabilioni ya fedha za tz.
 
Maisha bwana, kwahiyo Mr A kamsuggest Mr Putin awe Raisi, kwa sasa Mr A ana Usd 12.4B na Putin awe na USD 200B duh Mbona gap kubwa sana??
 
Wengi tunaakili (na mimi nikiwemo) lkn,tunakosa-connection!
Huna akili huna connection (Sina bahati), Una akili una connection hayo ndiyo matumizi ya akili mkuu.
 
Maisha bwana, kwahiyo Mr A kamsuggest Mr Putin awe Raisi, kwa sasa Mr A ana Usd 12.4B na Putin awe na USD 200B duh Mbona gap kubwa sana??

Unaweza kumfundisha mtu wizi mkuu ila yeye akajiongeza na kuwa jambazi kabisa (hapa nikazie..ujambazi wa mali ya umma)..hiki ndo kilitokea kwa hawa mabwana nadhani....ishitoshe Putin alikuwa jasusi mbobezi na ndo alikuwa/ameshikilia mpini
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…