Roman Abramovich, Risiti ya chakula cha jioni.

Roman Abramovich, Risiti ya chakula cha jioni.

Kang

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2008
Posts
5,694
Reaction score
2,588
20091104receipt.jpg
 
Percentagewise kulinganisha kipato chake na matumizi bado jamaa anaspend less kuliko ndugu zetu wabongo.... utakupa mtu anaspend kwa mwezi 100% ya kipato chake na anakopa another 200% kwahiyo total 300% ya kipato chake. No wonder we are poor.
 
Zingekuwa ni Shs hata Mchungaji hutumia hivyo 47221 Tsh
 
Pia hatujui huenda hiyo ni business dinner kwahiyo ataclaim back kwenye tax returns zake.... (Its good kama ukiwa inside this game everything works in your favour)
 
Nimeshindwa kuikonnekt risit na Romana Abramovich. May be jamaa alikuwa na watu wengi!
 
hapo vitu vilivyopelekea bei ni hizo wine La tache romanee; Chateau Petrus na Crystal Rose Magnum when it comes to wines the most expensive is CHATEAU LAFITTE 1787 $160,000
wine.jpg
 
Zingekuwa ni Shs hata Mchungaji hutumia hivyo 47221 Tsh

Roughly it seem they were two people on the game, sasa hiyo $47,221 convernt into TShs halafu utajuwa kama mchungaji style. Even with dollar it must have been damn expensive one, so obvious the drinks.
 
Mhhh!!! May be alikuwa na watu zaidi ya watu watano
 
Kigezo gani kimetumika kusema ni stakabadhi ya Abrahamaovic na sio sio billgates, Clinton au Kikwete ?
 
ukweli ni huu hapa;

First, there was the recent soft-launch of his yacht, the world's largest.
Then there was his purchase of a $90 million estate in St. Bart's.
Now comes word of a $52,000 lunch in Manhattan.
According to TMZ, Mr. Abramovich hosted nine guests at Nello's on the Upper East Side on Friday. The tab came to $47,221.09. He added another $5,000 tip (on top of the $7,328 gratuity already included) for a total of $52,221.09.
In an email, a spokesman for Mr. Ambramovich denied the bill was Mr Abramovich's. He said Mr. Abramovich did eat at the restaurant but that the "party spent no more than a tiny fraction of that amount - less than a couple of percent."
A manager at the restaurant declined to comment.
The bill shown by TMZ, however, is rich with details–and explains how someone could rack up a $52,000 bill. The main culprits: wine and truffles.
There were the three bottles of La Tache, for $5,000 each (alas, the bill doesn't give the vintage). There were the two bottles of Petrus, also at $5,000 each. And two bottles of Cristal Rose, at $5,000 each.
The food was typical Manhattan, with most entrees going for $50 or less. But the group had two orders of truffle carpaccio for $100 each, and three truffle taglionis for $585.
Is this shocking and abhorrent at a time when so many in the U.S. are losing their homes and jobs?
That is one way to look at it.
Another way is to thank him for being a one-man stimulus package. Beyond the lunch, I'm sure the Abramovich visit included plenty of shopping, hotels, drivers, nightclubs, and (perhaps) artwork at this week's big auction nights.
And as a New York resident, I look at the $3251.89 tax line and have two simple words for Mr. Abramovich: Thank you.
What do you think of the Abramovich lunch bill?
UPDATE: A spokesman for Mr. Abramovich had the following update on 11/6:
"The $47,000 check for food and wine at Nello's in New York on October 30, 2009, published by various media outlets over the past few days, is in no way connected to Mr. Roman Abramovich. While Mr. Abramovich and five others did dine at Nello's on that date, their total bill amounted to only a couple of percent of that amount, and no one consumed alcohol. The assertion that they ran up a bill of any greater magnitude is entirely false.
We are in the process of investigating the origins of this inaccurate story, which we have been told was perpetuated by people connected to the restaurant. Our legal counsel has been instructed to review any appropriate action to rectify this situation."
 
Acha ale maisha...hatoishi milele na mapesa atayaacha so atumie kadri ya uwezo wake!Ila ukifikiria huo ni mshahara wa walimu 2-3 kwanzia wanaanza kazi mpaka wanastaafu!!
 
Percentagewise kulinganisha kipato chake na matumizi bado jamaa anaspend less kuliko ndugu zetu wabongo.... utakupa mtu anaspend kwa mwezi 100% ya kipato chake na anakopa another 200% kwahiyo total 300% ya kipato chake. No wonder we are poor.

Umenena.
 
Amewapungizia jamaa ili circulation ya hela iendelee. watu wanapata ajira...............
 
Roughly it seem they were two people on the game, sasa hiyo $47,221 convernt into TShs halafu utajuwa kama mchungaji style. Even with dollar it must have been damn expensive one, so obvious the drinks.

Risiti inasema 6 customers (look at the bottom)
 
hapo vitu vilivyopelekea bei ni hizo wine La tache romanee; Chateau Petrus na Crystal Rose Magnum when it comes to wines the most expensive is CHATEAU LAFITTE 1787 $160,000
View attachment 19525

Hivi ukishakunywa hii kuna toilet maalum kwa ajili ya kujisaidia haja ndogo? Manake i can imegine hata mkojo wako utakua ni wa gharama sana...!
 
Roughly it seem they were two people on the game, sasa hiyo $47,221 convernt into TShs halafu utajuwa kama mchungaji style. Even with dollar it must have been damn expensive one, so obvious the drinks.

Risiti inasema 6 customers (look at the bottom)

na mimi naona alikuwa na watu wake na gharama kwake
angalia post ya 10 nimepost jibu la ukweli habari inasema alikuwa anawatu watano na total after tips ilikuwa 52,000 usd; lakini baadaye Jamaa mwenyewe amebisha kwamba hizo ni propaganda za restaurant na atafanya investigation
 
Back
Top Bottom