DOKEZO Maranatha ya Kabwe Mbeya kwanini hamtoi risiti kwa wateja?

DOKEZO Maranatha ya Kabwe Mbeya kwanini hamtoi risiti kwa wateja?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

msichana wa makam

New Member
Joined
May 18, 2026
Posts
1
Reaction score
0
Habari za wakati huu,

Maranatha ya Kabwe Mbeya kwanin hamtupi wateja risiti???? Nimelipia dawa ya kupaka ya gram 50 nimepewa ya gram 20 nimeondoka bila kukagua nafika nyumbani naona tofauti, kurudi siwezi maana sina risiti.

Na hii sio kwangu tu nilisikia na kwa mwingine. Maranatha zote ukienda unapewa risiti na inakuelezea kila kitu ulicholipia. kwanin wafanyakazi wa Kabwe hamtupi risiti???
 
Habari za wakati huu,

Maranatha ya Kabwe Mbeya kwanin hamtupi wateja risiti???? Nimelipia dawa ya kupaka ya gram 50 nimepewa ya gram 20 nimeondoka bila kukagua nafika nyumbani naona tofauti, kurudi siwezi maana sina risiti.

Na hii sio kwangu tu nilisikia na kwa mwingine. Maranatha zote ukienda unapewa risiti na inakuelezea kila kitu ulicholipia. kwanin wafanyakazi wa Kabwe hamtupi risiti???
Unaondokaje bila kukagua bidhaa?
 
Watu tupo busy kulipa kodi na TRA wanatangaza kuvuka lengo ila matumizi ya hizo fedha ni wa hovyo hovyo kila kukicha kwa mujibu wa taarifa ya CAG..
 
Back
Top Bottom