he he he ...NONDO hizi ""!!?Aliyekwambia jumapili ni siku ya kusali ni nan?
Wapi kwenye biblia imeandikwa?
Kwanini tunaweka sanamu kanisani?
Je zile picha zilizo kanisani ni za yesu? sura halisi ya yesu imehifadhiwa wapi?
Kwanii kwenye Salamu.Maria tunakiri kuwa Ni mama wa Mungu
Je mungu anazaliwa?
Ikiwa yeye ni mungu kwanin wakati anabatizwa na Yohane sauti inasikika ikitoka juu ikisema huyu ndiye mwanangu mpendwa nliye pendezwa naye...
Je huoni yupo mwenye mamlaka mkuu zaidi yake?
Je isingefaa iwe Mama wa mwana wa Mungu?
SawaBila shaka ndugu wewe ni msomaji wa vitabu vya Danieli na Ufunuo!
Ukisoma vizuri Danieli 9:20-27, utaelewa kwamba utawala wa Roma utatawala juma la 70 (wiki 1). Kinabii wiki 1 = miaka 7. Kipindi hicho kitaanza baada ya unyakuo wa kanisa (waliompokea Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao walipokuwa duniani). Wakati huo serikali zote duniani zitakuwa chini ya serikali kuu moja zikipokea amri za kiutawala kutoka kwa mkuu mmoja ambaye ni serikali ya Roma (mfano wa utawala huo ni kama Raisi Magulifuli alivyo na mamlaka kwa wakuu wote wa mikoa yote ya Tanzania). Huyo Rumi (Kaisari) atatawala kwa kushirikiana na mataifa mengine 10 (rejea Danieli 2:33, 41 - sanamu aliyoota Nebukadreza). Wakati huo hakuna atakayekiuka amri hata moja ya mtawala huyo yaani Rumi. Huyo Rumi (Kaisari) atakuwa na nguvu sana, na ndiye Mpinga Kristo.
Tujiulize, kama Roma ndiyo inatawala dunia kwa sasa je, kila serikali iliyoko duniani inatii kila amri kutoka kwa huyo mkuu (Kaisari=mpinga kristo)? Je hizo serikali zinatekeleza policy za huyo Mrumi? Jibu ni hapana. Kipindi hicho bado hakijafika ila hakiko mbali (2Thesolanike 2:1-10). Wateule kuweni macho!
UPADRE UNAKUHUSU AISEEKwanza niseme kwamba mimi siyo Msabato. Mimi ni mkristo ninasali kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG).
Umande fungua Biblia yako kitabu cha Danieli 2:29-45.
Aya hizi zinaonesha dola kuu ambazo zimetawala dunia tangu wakati huo (Nebukadreza alipoota ndoto hiyo) na zitakazotawala duniani hadi dunia hii itakapoondolewa. Falme hizi (dola kuu) zilikuwa na mamlaka kamili dunia nzima (serikali zote duniani zikiwa zinafuata amri kutoka dola hizo kuu). Ikumbukwe kwamba kabla ya Nebukadreza (Babeli) kulikuwa na falme kuu 2 zilizokuwa zimetawala dunia hii, nazo ni Misri na Ashuru. Ukisoma aya hizo utaona kwamba zenyewe hazikuzungumzwa:
Hizo dola kuu 4 tangu ndoto ya Nebukadreza zilizoitawala dunia yote ni kama ifuatavyo:
1. Dola ya Babeli - Kichwa cha dhahabu (Danieli 2:36-38) tangu mwaka 612KK hadi 539KK (Kabla ya kuzaliwa Kristo - KK)
2. Dola ya Umedi na Uajemi - Kifua na mikono ya fedha (Danieli 2:39) tangu mwaka 539KK - 333KK
3. Dola ya Uyunani - Tumbo la shaba (Danieli 2:39) tangu mwaka 333KK hadi 146KK
4. Dola ya Rumi - Miguu miwili ya chuma (Danieli 2:33, 40) tangu mwaka 146KK
Utawala wa dola ya Rumi uligawanyika sehemu mbili:
a. Rumi ya magharibi (Western Roman Empire) ambayo mji wake mkuu ulikuwa Roma (tangu mwaka 146KK hadi 476BK - (BK-Baada ya kuzaliwa Kristo)
b. Rumi ya Mashariki, mji wake mkuu ulikuwa Constantinople (tangu mwaka 146KK hadi 1453BK)
Dola 4 tayari zimekwisha itawala dunia yote, bado dola ya 5 ambayo ni "nyayo" (Danieli 2:33, 42,43). Dola hii ya 5 itakuja kuondolewa na ufalme mwingine utakaotawala milele na milele ambao mtawala wake hatakuwa mwanadamu (Danieli 2:44-45).
Swali; dola ya 5 ni mfalme wa dola gani?
Huyo mfalme atakayeondoa utawala wa dola ya 5 kisha kutawala milele na milele ni
nani?
Tutumie Biblia kudadavua hii mada muhimu! Karibuni.
hasara. ...sana Hawa watu "" wameshindwa kustick kwenye mada" wanaanza kushambuliana kiimani...jinga kabisa.." Mara sijui petro ..Mara sijui Mudy"" wakati hao watu wanaowataja wala hawawajui....na hawana Uhakika kama niwatu kweli ambao walikuwepo tu duniani...au ni anonymous kama MAJINA YA KIPEPE NA MADENGEHapa alieandika biblia alikuwa na IQ kubwa mpaka watu mnabishana kwa stor za kusadikika kutojielewa sisi ni kitu gani ndo kunasababisha kuwepo kwa sintofahamu kama hizi za mleta uzi
Kuna hasara kubwa walioturetea hawa watu hadi hatuwezi kujadili kujihusu sisi badala tunapigania assumption zao sisi zetu zi nalala
Hivi kwann mmelala kiasi hicho kwann amfikirii chochote zaidi kariri za vitabu kwann lakini
Mna macho hamuoni mna masikio hamsikii mna pua hamnusi kila mlango wa fahamu hamtumiii
Badilikeni badilikeni khaaaa. Sio siri mnakera
Nadhani ufalme wa 5 utamalizwa na kiama then mungu mwenyewe atachukua usukaniNdugu Mackie, tumia Biblia kujibu kwani mada hii ni ya kibiblia.
Enzi (dola) hizi ni za binadamu yaani watawala halisi ni wanadamu siyo roboti kama ulivyosema! Soma Danieli 2:43-44
Vipi huo ufalme utakaotawala milele na milele baada ya dola ya 5 ni ufalme gani?
Una uhakika na ulichokiandika hapa????Ni kweli!; ndio sababu waisilamu wanasali ijumaa wakisherehekea kwamba Yesu kafa...wasabato wanasali jumamosi wakifurahia Yesu yupo kaburini...Wakristo tunasali JPili tunasherehekea Bwana wa Mabwana kashinda kifo ni limbuko letu
NCHUMARI KUMOYO? MUHAM MAD IBN ABD ALLAH KUMBE NDO POPE KWA JINA LINGINE?Hiyo Ufu:13 ni muham mad ibn abd allah..
Hzo emoj ndyo kuonekana mgeni nazo au?nimekwambia soma Biblia yoote.. au hukunielewa nikuongoze kidogo tu kwa mujibu wa uf.13 maana ya joka, mnyama, bahari, pembe ni ipi
Ndio ume-post nini kila kitu kina makusudi yake, kama hujui umuhimu wa makalio kalia kichwa kama huzipendi emoji jidunge ndoba usepeHzo emoj ndyo kuonekana mgeni nazo au?
Emoji zinaendana na nini unaandika kwa mlengwa wa kipi kinamfikia.Ndio ume-post nini kila kitu kina makusudi yake, kama hujui umuhimu wa makalio kalia kichwa kama huzipendi emoji jidunge ndoba usepe
hahaa umeona eeehh"""!!MADA KAMA HIZI HUWA WANAKAANGANA WENYEWE KWA WENYEWE.