Roma bado inatawala dunia

Na Mimi nilikuwa sijui wewe ni kijana unae safiri saànààà
Hapa bora tuludi kwa mitale na midimu kwenye jando na unyago. Ndio maana papa aliwaombea msamaha wale makasisi waliobaka vijana wa kiume. Kumbe anatekeleza ufrimason wa mzee Mudi
 
ukweli wa kibiblia unapaswa kujua
vifuatavvyo
elimu juu ya mazingira ya uandishi, historia,
utamaduni wa jamii za wakati Biblia
inaandikwa, jiogarafia ya nchi za Biblia,fani na
miundo ya vitubu vya Biblia; lugha ya Biblia na
mikazo ya kiteolojia: utaweza kuupata na
kuujua ujumbe aua maana sahihi ya Maandiko
Matakatifu
 
Hv kuna uhusiano gani kati ya dola ya kirumi na kanisa katoliki la mitume?
Hakuna uhusiano,

Kanisa la ROMA limeibukia kutoka kwenye DOLA YA KIRUMI YA KIPAGANI, ndio maana kanisa la roma bado limebaki na TARATIBU ZA KIPAGANI ILIZOZIRITHI KWENYE RUMI YA KIPAGANI
FB_IMG_1539890403869.jpeg
 
Roma iliua watakatifu zaidi ya million 100 , wote walioipinga roma walipotezwa
FB_IMG_1541033098088.jpeg
 
Leo nimemwona father na sister wanaingia home Kwa father nimewaza mengi sn
 
Umeisoma au unajibu kirahisi rahisi tu!
Acha kudanganya watu,hiyo sura nimeisoma yote haihusiani na UISLAMU

NIJIBU HILI SWALI

Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

UISLAMU ubahusikaje hapo

Pembe ni nini?mnyama ni nini?

Vichwa 7 ni nini?

Nijibu tufanye mjadala
 
Acha kudanganya watu,hiyo sura nimeisoma yote haihusiani na UISLAMU

NIJIBU HILI SWALI

Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

UISLAMU ubahusikaje hapo

Pembe ni nini?mnyama ni nini?

Vichwa 7 ni nini?

Nijibu tufanye mjadala
@mgen hebu tusaidie kujibu haya maswali nasisi tuone uislamu unahusikaje au propaganda zenu tu, maana kanisa katoliki unalihusu asilimia kama zote, na iliwawia vigumu sana kukanusha
 
Acha kudanganya watu,hiyo sura nimeisoma yote haihusiani na UISLAMU

NIJIBU HILI SWALI

Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

UISLAMU ubahusikaje hapo

Pembe ni nini?mnyama ni nini?

Vichwa 7 ni nini?

Nijibu tufanye mjadala
Akijibu haya maswali , basi nitaamini Yesu anakaribia kurudi,

Akija hapa ataleta ngonjera zao, Kanisa la roma lilishindwa kukanusha kuhusu kuhusika na huu unabii, likaanza kumsingizia nero ,maana huu unabii unataja hadi eneo anakoishi huyu Mnyama ambaye ni ROMA YA KIDINI

leo mtu anakurupuka anasema ni Uislamu,

Uislamu ni kapart tu ,uislamu umeanzishwa na ukatoliki ,
 
Ondokeni, mwende zenu; maana hapa sipo mahali pa raha yenu; kwa sababu ya uchafu mtaangamizwa, naam, kwa maangamizo mazito sana.” Mika 2:10.

“Kimbieni kutoka kati yake Babeli, kila mtu na ajiokoe nafsi yake; msikatiliwe mbali katika uovu...Enyi watu wangu; tokeni katikati yake, mkajiokoe nafsi zenu na hasira kali ya BWANA, kila mmoja wenu.” Yeremia 51:6, 45.
FB_IMG_1540964219457.jpeg
 
Mgen acha kutudanganya

Tafsiri ya kuwa mnyama ni mtume umeitoa wapi?

Maana biblia inaseam mnyama ni Taifa, au ufalme

Tuanzie hapa

Na pia maana ya bahari umeitoa wapi, hebu tupe andiko, na sio mawazo yako

IMG_20181107_183004_301.jpg
kama hutaki kusikia kivyako ilaha habari NDIO hiyo Naendelea hao watakao pata sigda kwa kumsudia Mnyama
IMG_20181107_184747_580.jpg
IMG_20181107_184902_100.jpg
unatetea uisilamu kwa sababu wameanzisha DHEHEBU lako, nyinyi mnaswali j/mosi kusherehekea uwepo WA YESU kaburini wenzenu wanaswali ijumaa kusherehekea kifo cha YESU sisi Wafuasi wake tuna-Sali J/Pili Tunasherehekea KUFUFUKA BWANA WA MABWANA
 
View attachment 924890 kama hutaki kusikia kivyako ilaha habari NDIO hiyo Naendelea hao watakao pata sigda kwa kumsudia Mnyama View attachment 924912View attachment 924914 unatetea uisilamu kwa sababu wameanzisha DHEHEBU lako, nyinyi mnaswali j/mosi kusherehekea uwepo WA YESU kaburini wenzenu wanaswali ijumaa kusherehekea kifo cha YESU sisi Wafuasi wake tuna-Sali J/Pili Tunasherehekea KUFUFUKA BWANA WA MABWANA
Acha kudanganya watu, nimekuiliza maswali hujibu, unadai natetea uislamu, au hujui uislamu umeanzishwa na ukatoliki?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom