mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
Na Mimi nilikuwa sijui wewe ni kijana unae safiri saànàààEe Nilikuwa sijui kama papa kweli ni freemason kwahiyo hadi wakatoliki ni freemason
Na Mimi nilikuwa sijui wewe ni kijana unae safiri saànàààEe Nilikuwa sijui kama papa kweli ni freemason kwahiyo hadi wakatoliki ni freemason
Hapa bora tuludi kwa mitale na midimu kwenye jando na unyago. Ndio maana papa aliwaombea msamaha wale makasisi waliobaka vijana wa kiume. Kumbe anatekeleza ufrimason wa mzee MudiNa Mimi nilikuwa sijui wewe ni kijana unae safiri saànààà
Hv kuna uhusiano gani kati ya dola ya kirumi na kanisa katoliki la mitume?ndio mbona ipo wazi kupitia kanisa katoliki
Hakuna uhusiano,Hv kuna uhusiano gani kati ya dola ya kirumi na kanisa katoliki la mitume?
Nyie ndo huwa mnatoka weupe kichwani! Toa hoja, ulichoandika ni ujinga mtupu,Propaganda za Kisabato Zaidi
Weka hizo aya hapa. Kwani Biblia yote inazungumzia habari za Mudi? Mnajidanganya bure, hakuna hata chembe ya habari inayomhusu Mudi kwenye Biblia!
Haimuhusu mudy hii sura , nani kakudanganya nduguUfunuo 13:1-10
Umeisoma au unajibu kirahisi rahisi tu!Haimuhusu mudy hii sura , nani kakudanganya ndugu
Acha kudanganya watu,hiyo sura nimeisoma yote haihusiani na UISLAMUUmeisoma au unajibu kirahisi rahisi tu!
@mgen hebu tusaidie kujibu haya maswali nasisi tuone uislamu unahusikaje au propaganda zenu tu, maana kanisa katoliki unalihusu asilimia kama zote, na iliwawia vigumu sana kukanushaAcha kudanganya watu,hiyo sura nimeisoma yote haihusiani na UISLAMU
NIJIBU HILI SWALI
Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”
UISLAMU ubahusikaje hapo
Pembe ni nini?mnyama ni nini?
Vichwa 7 ni nini?
Nijibu tufanye mjadala
Akijibu haya maswali , basi nitaamini Yesu anakaribia kurudi,Acha kudanganya watu,hiyo sura nimeisoma yote haihusiani na UISLAMU
NIJIBU HILI SWALI
Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”
UISLAMU ubahusikaje hapo
Pembe ni nini?mnyama ni nini?
Vichwa 7 ni nini?
Nijibu tufanye mjadala
Mgen acha kutudanganya
Tafsiri ya kuwa mnyama ni mtume umeitoa wapi?
Maana biblia inaseam mnyama ni Taifa, au ufalme
Tuanzie hapa
Na pia maana ya bahari umeitoa wapi, hebu tupe andiko, na sio mawazo yako
Acha kudanganya watu, nimekuiliza maswali hujibu, unadai natetea uislamu, au hujui uislamu umeanzishwa na ukatoliki?View attachment 924890 kama hutaki kusikia kivyako ilaha habari NDIO hiyo Naendelea hao watakao pata sigda kwa kumsudia Mnyama View attachment 924912View attachment 924914 unatetea uisilamu kwa sababu wameanzisha DHEHEBU lako, nyinyi mnaswali j/mosi kusherehekea uwepo WA YESU kaburini wenzenu wanaswali ijumaa kusherehekea kifo cha YESU sisi Wafuasi wake tuna-Sali J/Pili Tunasherehekea KUFUFUKA BWANA WA MABWANA