Roho ya hofu imenijaa

Roho ya hofu imenijaa

Unamfahamu huyo Sigmund Freud mkuu? Yawezekana kabisa kibamia (real or perceived) kinaweza kuhusika hapa japo unconsciously. Jibu swali langu nikupe nondo za mlango wa Psychoanalysis.

Ninao muhogo wa kutosha tu
 
Unamfahamu huyo Sigmund Freud mkuu? Yawezekana kabisa kibamia (real or perceived) kinaweza kuhusika hapa japo unconsciously. Jibu swali langu nikupe nondo za mlango wa Psychoanalysis.

Wewe Utakuwa Mwalimu, Sigmund Freud Kama Hujasoma Educational Psychology Huwezi Kumfahamu.
 
Hamjambo?
Karibu katika mada hii
Mimi nimekua na mtizamo hasi kiasi ya kutetemeka au uso kuona aibu wakati wa kuzungumza na watu wengine.

Hata mtu nisiemjua naogopa kumwalia usoni

Sio hivyo tu wakati hilo likiendelea naishiwa pumzi na kutetemeka

Nasikitika kwa hali hii.

Naombeni ushauri.

NB
Moderator tafadhali msiupeleke huu uzi Jf doctor maana wengi hawatauona.
Asante.

Nina imani kuwa utakuw auna ugonjwa wa kisaikolojia ambao kwa kiingereza unaitwa Anxiety... Ugonjwa huo pia huambatana na ugonjwa mwingie wa kisaikolojia wa Depression. Jaribu ku google haya magonjwa mawili kwa ufahamu zaidi.
Pole kwa hali uliyo nayo.
 
unaona aibu ukiwa na wanaume au wanawake?..

kama umeoa basi utakuwa umepanga nyumba, au sio..?
Fanya mpango uhame hapo unapoishi...
na pia upuka kufanya vitu kisirisiri, uwe wazi, mkweli kwa mkeo na marafiki... ukweli huleta uhuru.
Fanya mazoezi, kuuchangamsha mwili hasa asubuhi kabla ya kazi nyingine, hii huongeza kujiamini kuwa uko sawa.

Kwa ujumla watu wote nawaonea aibu iwe mwanamke au mwanaume.

Na hii hali inafanya watu wananiogopa sababu sipendi utani
 
Roho ya hofu, ikutoke kuanzia sasa ivi.

hiyo hali haitokua kwako tena

Hamjambo?
Karibu katika mada hii
Mimi nimekua na mtizamo hasi kiasi ya kutetemeka au uso kuona aibu wakati wa kuzungumza na watu wengine.

Hata mtu nisiemjua naogopa kumwalia usoni

Sio hivyo tu wakati hilo likiendelea naishiwa pumzi na kutetemeka

Nasikitika kwa hali hii.

Naombeni ushauri.

NB
Moderator tafadhali msiupeleke huu uzi Jf doctor maana wengi hawatauona.
Asante.
 
Ni matatizo ya kisaikolojia, lakini watu wenye tatizo kama lako huwa wanakuwa na akili sana, Tafadhali angalia mkanda wa the gods must be crazy part I
 
boss umenichekesha sana nami mbavu hoi hapa

Yaani siku ilikua ni balaa!

niivuta mita chache kutoka ninakoishi.
Nikamaliza nikawaacha wengine wakivuta, sasa nilipoingia ndani ya geti nikamkuta mdada mmoja anaosha vyombo katika karo, nikamsalimia.

Habari za muda huu huku nikiwah mlango wangu niingie ili asinione kama nnacheka, alipoitika tu mimi kicheko cha kufa mtu lakini hakuniuliza kwanini unacheka,

Nikaingia ndani nikaenda kitandani nikalala nikiwa nimelala nikajiuliza hivi ninafanyaje? hapo kikafuata kicheko balaaa wakati huo niko mwenyewe, nikahisi mkojo nikaamka nikeenda kukojoa nilipokua natoka chooni nikajiuliza hivi nimekuja kufanyaje huku chooni kumbe sikukojoa nikaacheka mpaka yaani bangi siku hiyo ilinifanya Mjinga sana!
 
Ni matatizo ya kisaikolojia, lakini watu wenye tatizo kama lako huwa wanakuwa na akili sana, Tafadhali angalia mkanda wa the gods must be crazy part I

Sawa Mkuu
 
Nina imani kuwa utakuw auna ugonjwa wa kisaikolojia ambao kwa kiingereza unaitwa Anxiety... Ugonjwa huo pia huambatana na ugonjwa mwingie wa kisaikolojia wa Depression. Jaribu ku google haya magonjwa mawili kwa ufahamu zaidi.
Pole kwa hali uliyo nayo.

Asante Mkuu
 
Nyota yako inaonyesha utakua tajiri sana. Maana nyota yako ya sayari monerismus iko sambamba na sayari ya pluto yaani bahati.
Inaelekea una aibu sana hasa wakati wa kumaliza tendo la ndoa. Hasa na wanawake waliokuzidi umri ambao ndio wewe unakua nao zaidi.
Fanya yafuatayo. Epuka wanawake wazee hasa wale wanaokunywa pombe. Mtongoze mtoto wa baba mwenye nyumba yako kwani huyo ndio atakayekufanya uwe tajiri mkubwa.
Mwisho kabisa unitumie vocha ya sh elfu kumi na tatu niweke nyota yako vizuri. Wiki hii usile nyama yoyote halafu usimwangalie mama mwenye nyumba kwa matamanio kwani atakua mkwe wako si muda mrefu.

Teh tee.ww mbayaaaaa!
 
Kuna aina sita tu za hofu nazo ni..
1. Poverty
2. Criticism
3. Ill Health
4. Loss of Love
5. Old Age
6. Death
hofu nyingine zote zinaingia huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom