Nyota yako inaonyesha utakua tajiri sana. Maana nyota yako ya sayari monerismus iko sambamba na sayari ya pluto yaani bahati.
Inaelekea una aibu sana hasa wakati wa kumaliza tendo la ndoa. Hasa na wanawake waliokuzidi umri ambao ndio wewe unakua nao zaidi.
Fanya yafuatayo. Epuka wanawake wazee hasa wale wanaokunywa pombe. Mtongoze mtoto wa baba mwenye nyumba yako kwani huyo ndio atakayekufanya uwe tajiri mkubwa.
Mwisho kabisa unitumie vocha ya sh elfu kumi na tatu niweke nyota yako vizuri. Wiki hii usile nyama yoyote halafu usimwangalie mama mwenye nyumba kwa matamanio kwani atakua mkwe wako si muda mrefu.
Nilishawai kuvuta bangi nikakoma
Nilicheka mpaka mbavu zikauma!
Unamfahamu huyo Sigmund Freud mkuu? Yawezekana kabisa kibamia (real or perceived) kinaweza kuhusika hapa japo unconsciously. Jibu swali langu nikupe nondo za mlango wa Psychoanalysis.We nae
Sio kweli usemayo kwani nyumba nnayokaa ni ya ndugu yangu.
tiyar nimeoa na mtoto ninae
Sio kuoa tena sidhani
Hamjambo?
Karibu katika mada hii
Mimi nimekua na mtizamo hasi kiasi ya kutetemeka au uso kuona aibu wakati wa kuzungumza na watu wengine.
Hata mtu nisiemjua naogopa kumwalia usoni
Sio hivyo tu wakati hilo likiendelea naishiwa pumzi na kutetemeka
Nasikitika kwa hali hii.
Naombeni ushauri.
NB
Moderator tafadhali msiupeleke huu uzi Jf doctor maana wengi hawatauona.
Asante.
ngoja nikucheke kwa sauti kubwa hahaha.kazi unayo kubwa tu ya kufanya iyo unayofanya saivi ni ya kitotoHamjambo?
Karibu katika mada hii
Mimi nimekua na mtizamo hasi kiasi ya kutetemeka au uso kuona aibu wakati wa kuzungumza na watu wengine.
Hata mtu nisiemjua naogopa kumwalia usoni
Sio hivyo tu wakati hilo likiendelea naishiwa pumzi na kutetemeka
Nasikitika kwa hali hii.
Naombeni ushauri.
NB
Moderator tafadhali msiupeleke huu uzi Jf doctor maana wengi hawatauona.
Asante.
Mwanaume
Hivi ntapata wapi mwanasaikolojia wa mambo ya kukosa confidence Arusha
Una muhogo wa jang'ombe au kibamia? Tuanzie hapo kwanza. Sigmund Freud shikamooooo!!!
Wewe ndiyo hujaelewa na bila shaka hujasoma Saikolojia. Nenda Google ukamsome gwiji Sigmund Freud na nadharia yake ya Psychoanalysis ndiyo pengine utapata fununu kuhusu nilichokuwa najaribu kusema hapa. Ukitaka nikufafanulie zaidi sema lakini usiruhusu hisia zako zikutawale na kuanza kuongea usiyoyajua!Wewe ni mee au K. ninawasiwasi na wewe. ningesema lakini hii sheria iliyoanza juzi inakataza. najua umenielewa.
Umri nao pia unahusika, 30 Tatar? Kama bado unakomaa usijar, ila jambo la msingi jitahidi kufunga na kumwomba Mungu hiyo roho ikuache, amini nakuambia hiyo ni roho kamili na inafanya kazi ndani yako, ishinde itakimbia ikikushinda itakukimbiza wewe.
Mwenye nyumba ni kaka yangu mtoto wake namuoaje? wakati huyo asili ni mwanangu?Wewe vipi ? kama hukunielewa sema. Nilikua najua unakaa nyumba ya ndugu ambae ni baba mwenye nyumba. Huyo mwenye nyumba ana mke na wewe unapenda sana kumuangalia akiwa hakuoni, hasa akigeuka. KATAA.
Unaruhusiwa kumuoa mtoto wa huyo mwenye nyumba wako ambae ni ndugu wa mbali kama mke wa pili ili uwe tajiri.
Pia unatakiwa urushe hiyo vocha sh 13,000 leo leo kabla nyota yako haijafifia.