M45
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 1,461
- 2,320
Hamjambo?
Karibu katika mada hii
Mimi nimekua na mtizamo hasi kiasi ya kutetemeka au uso kuona aibu wakati wa kuzungumza na watu wengine.
Hata mtu nisiemjua naogopa kumwalia usoni
Sio hivyo tu wakati hilo likiendelea naishiwa pumzi na kutetemeka
Nasikitika kwa hali hii.
Naombeni ushauri.
NB
Moderator tafadhali msiupeleke huu uzi Jf doctor maana wengi hawatauona.
Asante.
Karibu katika mada hii
Mimi nimekua na mtizamo hasi kiasi ya kutetemeka au uso kuona aibu wakati wa kuzungumza na watu wengine.
Hata mtu nisiemjua naogopa kumwalia usoni
Sio hivyo tu wakati hilo likiendelea naishiwa pumzi na kutetemeka
Nasikitika kwa hali hii.
Naombeni ushauri.
NB
Moderator tafadhali msiupeleke huu uzi Jf doctor maana wengi hawatauona.
Asante.