Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
Naona kama sijaelewa, labda ni kutokana na shule yangu kua ndogo ila sijaelewa kabisa mtoa mada anasemaje.
Kwa hiyo hutaki watu tutongoze kwenye mabasi au nini.
Uroho wetu ni upi hasa,kutongoza msafiri mwenzako? Sasa tutongoze wapi kama kutongoza msafiri mwenzako ni uroho na roho mbaya.
Kwa kweli sijaelewa.
Kwa hiyo hutaki watu tutongoze kwenye mabasi au nini.
Uroho wetu ni upi hasa,kutongoza msafiri mwenzako? Sasa tutongoze wapi kama kutongoza msafiri mwenzako ni uroho na roho mbaya.
Kwa kweli sijaelewa.