Unaongelea MZA - DAR wenzako wanapiga sound Kimara - Posta na wanakula mzigo?
Mahusiano yanaanzia popote.
Unakuwepo kwenye chombo cha usafiri, labda unatoka Mwanza kwenda Dar. Kwenye siti ukapata nafasi ya kukaa na mwanamke, na safari inaendelea.
Mara mnaanza kujuana na kupiga mastori, mpaka kufika mwisho wa safari tayari huyo mwanamke umeshaanzisha nae mahusiano, na mda huo humjui vizuri kuhusu Tabia na Afya kwa ujumla.
Inakaaje hii, Mbona sisi wanaume ni waroho kiasi hicho?
kwani tunatakiwa kutongozewa wapi hasa ili msionekane na roho mbaya?
ha ha ha huko utaambiwa dhambiLabda kanisani...!!