Roho mbaya tulizonazo wanaume

Roho mbaya tulizonazo wanaume

Roho Mbaya iko wap apo??
Wanaume tupo wachache sana, hii ndo opportunity kwa wadada...
 
Kisimani (kijijini), kwenye super market na shopping molls (mijini)...hapa burger zinahusika, club kwa wapenda maunoe, baa kwa sie wapenda maji ya uzima mwisho kabisa karibu na vibanda vya hela za mitandao na ATM... Kwingine ni ROHO MBAYA zinazaliwa.

Haaahaaaaa...aa...aaaa
 
Unatafta sound kijanja eeh😂😂😂
 
Unakuwepo kwenye chombo cha usafiri, labda unatoka Mwanza kwenda Dar. Kwenye siti ukapata nafasi ya kukaa na mwanamke, na safari inaendelea.

Mara mnaanza kujuana na kupiga mastori, mpaka kufika mwisho wa safari tayari huyo mwanamke umeshaanzisha nae mahusiano, na mda huo humjui vizuri kuhusu Tabia na Afya kwa ujumla.

Inakaaje hii, Mbona sisi wanaume ni waroho kiasi hicho?

Acha umbwira kwani mahusiano yanatakiwa yaanzie wapi exactly? Hakuna sehemu rasm, mbona wengine mpaka wanafikia kufunga ndoa na kuwa na familia?
 
Unakuwepo kwenye chombo cha usafiri, labda unatoka Mwanza kwenda Dar. Kwenye siti ukapata nafasi ya kukaa na mwanamke, na safari inaendelea.

Mara mnaanza kujuana na kupiga mastori, mpaka kufika mwisho wa safari tayari huyo mwanamke umeshaanzisha nae mahusiano, na mda huo humjui vizuri kuhusu Tabia na Afya kwa ujumla.

Inakaaje hii, Mbona sisi wanaume ni waroho kiasi hicho?

Jini mahaba yupo sana safari kama hizo
 
Mimi nnachojua safari yng ya ARUSHA-DAR juzi kwa dar express, ilikuwa poa sana, yaani mtoa mada hakuna roho mbaya ktk hili, sisi watanzania ni wakarimu sana
 
Unakuwepo kwenye chombo cha usafiri, labda unatoka Mwanza kwenda Dar. Kwenye siti ukapata nafasi ya kukaa na mwanamke, na safari inaendelea.

Mara mnaanza kujuana na kupiga mastori, mpaka kufika mwisho wa safari tayari huyo mwanamke umeshaanzisha nae mahusiano, na mda huo humjui vizuri kuhusu Tabia na Afya kwa ujumla.

Inakaaje hii, Mbona sisi wanaume ni waroho kiasi hicho?

Kwanza fahamu kuwa,safari moja huanzisha nyengine.Halafu kujuwana ni mbele kwa mbele.
 
nilizani story ya maana kumbe unazungumzi tamaa .hiyo haiyepukiki kwa mwanaume rijali
 
Unaongelea MZA - DAR wenzako wanapiga sound Kimara - Posta na wanakula mzigo?
Mahusiano yanaanzia popote.
 
Mimi nnachojua safari yng ya ARUSHA-DAR juzi kwa dar express, ilikuwa poa sana, yaani mtoa mada hakuna roho mbaya ktk hili, sisi watanzania ni wakarimu sana

Nimekuelewa Mkuu.
 
Back
Top Bottom