and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,107
Hawa ndugu zetu hizi tabia walizitoa wapi. Watanzania kwa asili hatuna Roho mbaya, ubahili na umalaya
Hawa ndugu zetu hizi tabia walizitoa wapi. Watanzania kwa asili hatuna Roho mbaya, ubahili na umalaya
Sio kila mtu kafanyiwa hivyo na wapare.....
Haya yote yapo kwenye kila kabila, isipo kua haya yote yanategemeana na mtu, malezi pamoja na mazingira hata aina ya marafiki aliokuwa naoHawa ndugu zetu hizi tabia walizitoa wapi. Watanzania kwa asili hatuna Roho mbaya, ubahili na umalaya
hellah namnani ahoHawa ndugu zetu hizi tabia walizitoa wapi. Watanzania kwa asili hatuna Roho mbaya, ubahili na umalaya
Sio wote,mimi niliwahi kukaa suji chankanga kwa rafiki zangu ukoo wa exaud nyika,sikuona huo ubahili au roho mbayaHawa ndugu zetu hizi tabia walizitoa wapi. Watanzania kwa asili hatuna Roho mbaya, ubahili na umalaya
Hawana roho mbaya. Wewe ndo una roho mbaya.Hawa ndugu zetu hizi tabia walizitoa wapi. Watanzania kwa asili hatuna Roho mbaya, ubahili na umalaya
Mleta uzi itakuwa ana mkwaruzano wa kimapenzi na mpare.Yeye aseme mpare yoyote maarufu hata mmoja aliyefanya vitu vibaya na vya roho mbaya.
Nimemsikia mtu akisema ni wachoyo na wabinafsi. Hayo ya mtoa mada hayaja ungwa mkono.
Kwanza useme nani ameamua kukufungia namna hii, ya wapare sio issue maana ulishawakataa😅😅
Kuna watu wanapenda kuishi kiujanjaujanja na kudhulumu wenzao. Sasa ukifanya haya kwa mpare ndo unakuja mbio ooh wana roho mbaya, wapenda kesi nk.Wapare hawana hiyo tabia.
Hakuna jamii inayopenda Haki kwenye Taifa hili kama Wapare, ndio maana unaambiwa wanapenda Kesi.
Na hakuna mtu anayependa Haki akawa na Roho Mbaya.
Ingawaje exceptionals wapo.
Rais aliwauliza wananchi wa upareni wamefanya jambo gani la maendeleo wakati serikali ikiendelea kufanya mambo mengine kuwaunga mkono? Wakajibu "tumejenga mahakama"Wapare hawana hiyo tabia.
Hakuna jamii inayopenda Haki kwenye Taifa hili kama Wapare, ndio maana unaambiwa wanapenda Kesi.
Na hakuna mtu anayependa Haki akawa na Roho Mbaya.
Ingawaje exceptionals wapo.
Kwa waliyemhifadhi hivi karibuni tu kwani huyo ndiyo Icon ya Wapare wote duniani. Hakuna Mpare asiyemshukuru Hayati.Hawa ndugu zetu hizi tabia walizitoa wapi. Watanzania kwa asili hatuna Roho mbaya, ubahili na umalaya