Rocket ya mwezini kurushwa siku ya kesho asubuhi

Rocket ya mwezini kurushwa siku ya kesho asubuhi

Mzawa_G

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
669
Reaction score
1,479
Mara baada ya kusubiria kwa muda sana hatimaye asubuhi ya kesho 16 november Rocket ya mwezini itarushwa kwa ajili ya majaribio ya kwanza kabisa ambapo nikatika kuweka kila kitu sawa kwenye mission zijazo za safari za kepeleka watu mwezini na Mars kwa ujumla

Kuna sababu mbalimbali ambazo zilizope lekea urushwaji wa rocket hii kushindwa kufanikiwa ikiwemo uvujaji wa gesi na uwepo wa kimbunga katika maeneo ya mwambao wa bahari huko Florida ila hadi sasa kila kitu kinakwenda sawa kama kilovyopangwa na hali ya hewa 90% iko sawa kwa kuruhusu safari

Rocket itarushwa kesho 9:04 am asubuhi kwa muda wa masaa ya afrika mashariki huku tukio hilo litashuhudiwa na watu wengi sana duniani

Unaweza ukatizama matukio yote hao kupitia link hii hapa

Mzawa
geraldchristopher1@gmail.com

FB_IMG_1668540918479.jpg
 
Hawaendi mwezini ni uongo wanaibia vizee Ulaya na matajiri wajinga
 
Sisi tunalogana jamani hii laana wametuweza
 
Back
Top Bottom