Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
Tuwape hongera Azam Tv kwa kuthubutu kuleta movie yenye mifumo ya Teknolojia kwa mara ya kwanza nchini Tanzania Tena waigizaji wakiwa Watanzania.
Azam Tv wakishilikiana na Kampuni ya Power brush Studio wameweza kuachia movie ambayo inaitwa Eonii utaweza kuona kupitia Kingamuzi cha Azam tarehe 23/06/2023 kupitia channel ya Azam two.
Eonii Movie imekuja kubadilishi mtazamo mzima wa tasnia za filamu nchini Tanzania. ngoja tuwape maokoto kidogo kuhusu hii movie si unajua Teknolojia ni Yetu sote wapwa.
Eonii ni movie yenye mfumo wa sayansi za kufikilika (sayansi za Uongo) ambazo huitwa science fiction aka (sci-fi) , hii ni filamu inayohusisha Teknolojia za juu kabisa utakutana nazo ndani yake Kuna usaliti, mapenzi, mapambano, visasi na matukio mengine mengi tu.
Mfumo wa huu movie ni kuhusu Mwaka 2061 nchini Tanzania Teknolojia itakua imepiga hatua kubwa sana uvumbuzi mbalimbali wa Teknolojia utapatikana, ila utaweza kusababisha maafa maana Kuna watu walikua wana miliki ma roboti na kuleta usaliti kwa wengine.
Ni vita ya Maroboti na wanadamu kuweza kuiokomboa Tanzania utakutana na ile miroboti mikubwa kama ile ya kwenye transformers je ni nani wa kuikomboa Tanzania !!!
Inasemekana Gharama ya kuendesha hii movie mpaka kukamilika ilitumika kiasi cha zaidi ya milioni mia nne za kitanzania.
Hongereni Azam mmeweza kuleta mapinduzi makubwa ya filamu zetu tuache sasa kuigiza movie mtu ana Shati moja tu Toka movie ianze mpaka inaisha .
Ebu tuachie maoni yako unaonaje tasnia ya movie nchini Tanzania tutafika kweli tunapotaka au bado Sana !! View attachment 2656333View attachment 2656334
Azam Tv wakishilikiana na Kampuni ya Power brush Studio wameweza kuachia movie ambayo inaitwa Eonii utaweza kuona kupitia Kingamuzi cha Azam tarehe 23/06/2023 kupitia channel ya Azam two.
Eonii Movie imekuja kubadilishi mtazamo mzima wa tasnia za filamu nchini Tanzania. ngoja tuwape maokoto kidogo kuhusu hii movie si unajua Teknolojia ni Yetu sote wapwa.
Eonii ni movie yenye mfumo wa sayansi za kufikilika (sayansi za Uongo) ambazo huitwa science fiction aka (sci-fi) , hii ni filamu inayohusisha Teknolojia za juu kabisa utakutana nazo ndani yake Kuna usaliti, mapenzi, mapambano, visasi na matukio mengine mengi tu.
Mfumo wa huu movie ni kuhusu Mwaka 2061 nchini Tanzania Teknolojia itakua imepiga hatua kubwa sana uvumbuzi mbalimbali wa Teknolojia utapatikana, ila utaweza kusababisha maafa maana Kuna watu walikua wana miliki ma roboti na kuleta usaliti kwa wengine.
Ni vita ya Maroboti na wanadamu kuweza kuiokomboa Tanzania utakutana na ile miroboti mikubwa kama ile ya kwenye transformers je ni nani wa kuikomboa Tanzania !!!
Inasemekana Gharama ya kuendesha hii movie mpaka kukamilika ilitumika kiasi cha zaidi ya milioni mia nne za kitanzania.
Hongereni Azam mmeweza kuleta mapinduzi makubwa ya filamu zetu tuache sasa kuigiza movie mtu ana Shati moja tu Toka movie ianze mpaka inaisha .
Ebu tuachie maoni yako unaonaje tasnia ya movie nchini Tanzania tutafika kweli tunapotaka au bado Sana !! View attachment 2656333View attachment 2656334