Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,913
- 70,668
Kumbe bado anaipenda jf😂😂bora asingeaga ndo nini sasaLast seen ni juzi mbona.
Anapitaga kuchungulia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe bado anaipenda jf😂😂bora asingeaga ndo nini sasaLast seen ni juzi mbona.
Anapitaga kuchungulia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ko wamekutuma uje uwasifiee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umepanic ila ukweli ndio huo hata utukane nyuz zako huwa ni kuponda wanawake tu
Kuna zingine nzuri ila jitahidi kuwa fair acha chuki na wanawake hatupendi
Umepanic ila ukweli ndio huo hata utukane nyuz zako huwa ni kuponda wanawake tu
Kuna zingine nzuri ila jitahidi kuwa fair acha chuki na wanawake hatupendi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeeh wabongo wakikususa utafurahi,
Sijuii hata itakuajee binamuuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binamu ndio kwanza mpango wa kulala hauna, hivi ukikuta infantry soldier ndio umughaka utasemaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF ni kijiwe pendwaaa.Kumbe bado anaipenda jf[emoji23][emoji23]bora asingeaga ndo nini sasa
Kwahiyo mwanamke akifungua nyuzi kuhusu wanaume wabaya na kuwaonya wanawake wenzake tunaita kumkomboa mwanamke, ila mwanaume akiandika nyuzi kwa wanaume wenzake kuwaonya juu ya wanawake wabaya basi ni uzi wa kugandamiza wanawake na chuki dhidi ya wanawake au sio?!Robert na nyuzi zake za kugandamiza wanawake hatutaki.
Double standards tu hakuna lingine.Wanawake wote humu
Tufafanulie hapo kwenye mfumo dume, shida ni nini?!Mshana yuko juu. Robert hapana kwa kweli. Kwanza ameathirika na mfumo dume, halafu anaamini mawazo yake yako sahihi kuliko mtu yeyote kitu ambacho sio cha kweli hata kidogo. Huyu sio wa kutambulia kwa namna mtoa mada anavyofikiri....Hapana
Ushuzi upi sasa mzito au ule wa kawaida?Japo siafiki mambo ya kishirikina lakini mshana is right person , ila kwa hyo robert sijui hamna kitu kabisa , ana tabia ya ku vamia vamia vitu bila ya kujua kwa usahihi, tena huyu ni taikuni wa ushuzi
Hapo kabla nilijua mtu makini ktk uchambuzi wa masuala mbalimbali sasa ile kuingia habari zingine ( dini) alafu anachongea ni kama mlevi toka siku hyo nikajua hamna kitu kabisa , badala ya kuwa taikuni wa fasihi kumbe ni taikuni wa ushuziUshuzi upi sasa mzito au ule wa kawaida?
InfantysoldierJina lilikuwa linaishia na soldier
Tutajuaje ni MwAnaMkE mana mko mnatuchanganya tukitaka tuaze kupiga mawe mnakengeuka ,oohoooo Mimi mwanaume ......mnatuchanganyaWanawake wote humu
Kwahiyo mwanamke akifungua nyuzi kuhusu wanaume wabaya na kuwaonya wanawake wenzake tunaita kumkomboa mwanamke, ila mwanaume akiandika nyuzi kwa wanaume wenzake kuwaonya juu ya wanawake wabaya basi ni uzi wa kugandamiza wanawake na chuki dhidi ya wanawake au sio?!
Hebu tueleweshe. View attachment 2567003
Alipotelea wapi uyu jamaaInfantry soldier
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli boby yupo kama tapeli na tangu aanze kupata foleni kwenye nyuzi zake ni kama anajiona ana akili kuliko wengineo wote humu ndani, kuna mkaka flani alikuwa anajita lastborn wa jf, nae alipoanza kusifiwa akajaa bichwa ila wadau walivyomtupilia mbali akapotea,
Mshana huwezi kumfananisha na huyo tapeli