Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 4,486
- 4,875
Unachelewa wewe ni kuwa,ukiiba na mwenzio naye akaiba,basi ukishtakiwa peke yako unakuwa hujaiba,mpaka na mwizi mwenzio naye ashtakiwe.
Kwa maana rahisi ni kwamba:Unakamatwa na kosa halafu unajitetea kwa kumtaja mkosaji mwenzio?!!!
Hahahahaha........Hajui kuwa huenda Kuna Wana harakati wameshalaani na kuandaa mashtaka kwa wahusika wa makosa hayo,huko USA.
Kwa maana rahisi ni kwamba:Unakamatwa na kosa halafu unajitetea kwa kumtaja mkosaji mwenzio?!!!
Hahahahaha........Hajui kuwa huenda Kuna Wana harakati wameshalaani na kuandaa mashtaka kwa wahusika wa makosa hayo,huko USA.