Ndugu zangu kheri ya Mwaka mpya?
Walimwengu wanafuatilia kwa ukaribu sana uchaguzi wa Marekani na their transfer of power, sasa najiuliza vipi hali hii iliyofanywa na wafuasi wa Trump Jana, ambayo imepelekea watu wa 4 kufariki; ingetokea katika nchi zingine, kama za kiafrika au Latin America, akina Mike Pompeo na kiherehere chao kama malecture wa democracy, si kungekuwa na matamko chungu nzima? Nashangaa hata balozi za nchi mbalimbali, ziko kimya tu hata kukemea Hakuna kama wafanyavyo mabalozi wa USA around the world.
Ni wakati muafaka sasa wa Robert Amsterdam kumpeleka Trump Zehegi yao badala kupoteza muda mwingi kudeal na Tanzania, ambapo uchaguzi ulikuwa huru na haki and there was a peaceful transfer of power.
Jamaa wanafiki sana halafu ni double standard balaa.
Kejuu
Walimwengu wanafuatilia kwa ukaribu sana uchaguzi wa Marekani na their transfer of power, sasa najiuliza vipi hali hii iliyofanywa na wafuasi wa Trump Jana, ambayo imepelekea watu wa 4 kufariki; ingetokea katika nchi zingine, kama za kiafrika au Latin America, akina Mike Pompeo na kiherehere chao kama malecture wa democracy, si kungekuwa na matamko chungu nzima? Nashangaa hata balozi za nchi mbalimbali, ziko kimya tu hata kukemea Hakuna kama wafanyavyo mabalozi wa USA around the world.
Ni wakati muafaka sasa wa Robert Amsterdam kumpeleka Trump Zehegi yao badala kupoteza muda mwingi kudeal na Tanzania, ambapo uchaguzi ulikuwa huru na haki and there was a peaceful transfer of power.
Jamaa wanafiki sana halafu ni double standard balaa.
Kejuu